• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tunawajibika kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere - Rais Samia

Imewekwa tarehe: October 14th, 2021

Aliyosema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa sherere za kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru, Kumbukizi ya Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius K. Nyerere na Wiki ya Vijana kitaifa Chato, Mkoani Geita.

"Nawapongeza wananchi wa Chato kwa kuwa wenyeji wa Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2021 na kufanikisha kilele cha mbio hizi."

"Mwenge wa uhuru umezindua jumla ya miradi 1,067 yenye thamani ya Shilingi Trilioni 1.2."

"Awamu zote zimekuwa zikimuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Kambarage Nyerere."

"Tunawajibika kumuenzi Baba wa Taifa, Mw.Nyerere kwa kuwa alikuwa kiongozi bora, kiongozi asiyewabagua watu na aliwajali wanyonge ambao walikuwa wanahitaji kukombolewa."

"Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alisisima imara kupinga ubaguzi hapa nchini na duniani kwa ujumla."

"Serikali itaendeleza na kudumisha falsafa, itikadi na mema yote yaliyoasisiwa na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere."

"Vitendo vya rushwa ni chanzo ch kukosekana kwa haki kwenye jamii."

"Miradi 49 imebainika kuwa na kasoro wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru hivyo naagiza wote watakaobainika kuhusika na ubadhirifu huu wachukuliwe hatua."

"Mwalimu Nyerere aliamini kuwa yeye kama kiongozi anahitaji kujenga Taifa linalojitegemea."

"Bila afya bora hatuwezi kuimarisha uchumi wetu, nchi yetu inakabiliwa na changamoto ya maradhi yasiyo ya kuambukiza kama shinikizo la damu, hivyo nitoe rai kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa kitaalum."

"Madawa ya kulevya yanaathiri nguvu kazi ya Taifa, hivyo natoa wito kwa vijana kujiepusha na matumizi ya madawa ya kulevya."

"Natoa rai kwa vijana kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI."

"Vijana ni injini ya maendeleo ya Taifa na uhai wake."

"Serikali inajipanga kujenga Chuo kikubwa cha TEHAMA hapa Afrika Mashariki na kati kwa kutambua mchango wa sekta hii katika uchumi na kuzalisha ajira."

"Tutaendeleza mambo yote mazuri yaliyoanzishwa na Hayati, Dkt. John Pombe Magufuli yakilenga kuwaletea wananchi maendeleo katika sekta zote."

"Serikali inakamilisha vigezo vya kuifanya Wilaya ya Chato kuwa Mkoa."

"Nawakumbusha wananchi wote kuitunza na kuiendeleza miradi   yote ya maendeleo iliyozinduliwa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2021."

Chanzo: Idara ya Habari - MAELEZO

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.