• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tunawe mikono kujikinga na maradhi - Shekimweri

Imewekwa tarehe: October 15th, 2022

Na Josephina Kayugwa, DODOMA.

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri ametoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dodoma kufuata sheria za kunawa mikono ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama vile Kipindupindu, Mfumo wa hewa na Macho. Sheria hizo ni kama vile kutumia maji safi na salama yanayotiririka, sabuni, kusugua mikono kwa sekunde 15 pamoja kujifuta kwa kutumia kitambaa safi

Ametoa wito huo katika maadhimisho ya Siku ya kunawa Mikono duniani ambapo katika wilaya ya Dodoma yamefanyika leo tarehe 15 Oktoba, 2022 katika Kata ya Mtumba yakiongozwa na kauli mbiu inayosena “Tuungane pamoja kuhakikisha usafi wa mikono kwa wote.”

Alisema katika kuzuia magonjwa ya mlipuko kila mtu anatakiwa kunawa mikono bila kusahau kufuata utaratibu na sheria zote ambazo zinahitajika kwasababu wengi wamekuwa hawafuati, hivyo hata wakinawa bado vimelea vya magonjwa vinakuwepo katika mikono yao.

“kila mtu anatakiwa kumlinda mwenzake dhidi ya magonjwa ya mlipuko kwasababu gonjwa likimpata mmoja basi kila mtu itamuathiri maana magonjwa haya ya mlipuko huambukiza mtu mmoja baada ya mwingine na husambaa kwa haraka.

Lakini pia katika vituo vya afya pamoja na sehemu ambazo zinafanya watu wakusanyike basi sehemu hizo Maafisa afya wahakikishe vifaa vya kunawia mikono vinakuwepo muda wote ili viwasaidie watu kutekeleza jambo hili na naamini tutakuwa salama sote,” alisema Shekimweri.

Kwa upande wake Jacobo Ezekieli, Mkazi wa kata ya Mtumba alisema wananchi wafanye zoezi hili kwa amani kwa kushirikiana na viongozi wote wa kata bila kusahau kuelimisha ili kila mtu awe na elimu juu ya kunawa mikono.

“Sisi kama wananchi tunatakiwa kuwa pamoja na viongozi wetu ili tufanikishe jambo hili kwasababu magonjwa ya mlipuko ni hatari kwa afya zetu lakini pia kila mmoja wetu ana wajibu wa kumwambia ukweli mwenzake ili tulindane kama jamii dhidi ya magonjwa hatarishi,” alisema Ezekiel.

Aidha, aliwaomba viongozi wa Dini kuendelea kuwahamasisha waumini wakiwa katika sehemu zao za ibada kuzingatia jambo la kunawa mikono kwa kufuata sheria hata wakiwa majumbani kwao.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.