• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tupo vizuri, TUNATEKELEZA - Dkt. Hassan

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2019

Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania Dkt. Hassan Abbas amesema, Serikali imetumia zaidi ya sh. bilioni 336/- kutekeleza miradi ya maji na upatikanaji wa maji umeongezeka sana.

Amesema jijini Dar es Salaam kuwa, upatikanaji maji vijijini umeongezeka kutoka wastani wa asilimia 46 hadi 65% hivi sasa.

Kwa mujibu wa Dkt. Abbas hadi Septemba mwaka huu Serikali ilikuwa imekamilisha zaidi ya miradi 289 ya maji.

“Kwenye hiyo miradi kuna vituo zaidi ya elfu 89 kwa sababu unaweza ukajenga mradi ni tanki na chanzo cha maji lakini mradi mmoja ukawa na vituo zaidi ya mia mbili ambapo wananchi wanapata maji” amesema wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Amesema, miradi mikubwa 17 ya maji imekamilika mijini iliyogharimu zaidi ya sh bilioni 823/- na miradi ya maji zaidi ya 35 inaendelea kutekelezwa na kwa wastani upatikanaji maji mijini hivi sasa ni wastani wa 80%.

“Tupo vizuri, tupo pazuri lakini bado sisi tunawahimiza watendaji wetu na kwa niaba ya Watanzania kuhakikisha kwamba wanafanya kazi kwa kasi, nidhamu na uaminifu ili asilimia 95 hata ikiwezekana kufikia mwaka 2020 tuweze kufikia hata 100% kwenye miji kwa hiyo ni kazi inayoendelea” amesisitiza Dkt. Abbas.

Dkt. Abbas amekumbusha kuwa, mwaka 2015 Serikali iliweka lengo la kufikisha maji 85% vijijini na asilimia 95 mijini ifikapo mwaka 2020.

“Kazi kubwa inaendelea na mtakuwa mmeona mageuzi ya kitaasisi yaliyofanyika serikalini kwa mfano sasa hivi wale 'mainjinia' wataalamu wa maji wanawajibika moja kwa moja kwenye Wizara ya Maji hii yote ni kuongeza ufanisi na usimamizi unakuwa wa karibu” amesema Msemaji Mkuu wa Serikali.

Dkt. Abbas amesema, vituo 44,000 vya maji vinaendelea kujengwa na kwa wastani upatikanaji wa maji umeongezeka sana.

Chanzo: habarileo.go.tz


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.