• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tusiache mbwa kuzurura ovyo - Senyamule

Imewekwa tarehe: September 28th, 2022

Na Josephina Kayugwa, Dodoma

MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amesema Tanzania bila kichaa cha Mbwa inawezekana ikiwa wananchi watajitokeza kuchanja mifugo yao kama Paka na Mbwa wenye dalili na wasio na dalili ya kichaa cha Mbwa ili kuzuia madhara yatokanayo na ugonjwa wa kichaa cha Mbwa.

Aliyasema hayo leo tarehe 28 Septemba, 2022 katika maadhimisho ya siku ya kichaa cha Mbwa duniani ambapo kitaifa yamefanyika katika uwanja wa Mnadani kata ya Mpunguzi Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kauli mbiu isemayo " kichaa cha mbwa, afya moja vifo sifuri".

"Wajibu wetu wa kushiriki katika kudhibiti ugonjwa wa kichaa cha mbwa ambao unaathiri wanyama na binadamu na hauna tiba bali unazuilika kwa kuchanja mbwa na paka.

"kosa kisheria kuacha mbwa na paka wanazurura mitaani bila kuwa na uangalizi, hivyo nitoe wito kwa wananchi wote wanaofuga mbwa kuhakikisha wanazingatia ufugaji bora wa mbwa ikiwa ni pamoja na kutokuwaacha wanazura mitaani," alisema Senyamule.

Aidha Mkurugenzi wa Huduma za mifugo Prof. Hezron Nongo amesema katika maadhimisho na wiki ya kutoa chanjo ambayo yanaisha tarehe 2 Oktoba, 2022 chanjo ni bure hivyo wananchi wanatakiwa kuwapeleka wanyama wao kupatiwa chanjo ya kichaa cha Mbwa.

"Wananchi wote wa kata ya Mpunguzi pamoja Halmashauri nzima ya Jiji la Dodoma mnatakiwa kutumia fursa hiyo kwa sababu wanyama wengi hawajapata chanjo hiyo ya kichaa cha Mbwa.

"Kuna madhara mengi ambayo yanatokana na ugonjwa huu wa kichaa cha Mbwa lakini pia usalama unakuwa mdogo hata kwa wakazi wa eneo husika hasa watoto wadogo ambao wanaonekana ndio wahanga wa matukio ya kung'atwa na Mbwa kwa kiasi kikubwa, alisema Nongo.

Maadhimisho ya kichaa cha Mbwa duniani hufanyika kila mwaka tarehe 28 Septemba, 2022 kwa kutoa elimu juu kuzuia na kupambana na ugonjwa wa kichaa cha Mbwa na kutoa chanjo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.