• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tusumuke yapiga hatua uzalishaji vifaranga Dodoma

Imewekwa tarehe: January 22nd, 2020

Kikundi cha Vijana TUSUMUKE kinajivunia mashine bora za kutotolesha vifaranga vya kuku zikiwa na uwezo wa kutotolesha vifaranga zaidi ya 30,000 kwa mwezi.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa kikundi hicho, Erick Tigelindwa alipokuwa akiwasilisha taarifa ya kikundi kwa wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) iliyotembelea kikundi hicho jana kilichopo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Tigelindwa alisema “kikundi kina mashine bora za kutotoresha vifaranga vya kuku zenye uwezo wa kuzalisha vifaranga 31,000 kila mwezi”. Katika kuhakikisha kikundi kinawahudumia vizuri wateja wake, kimefanikiwa kununua mashine ya kisasa ya kusaga nafaka kwa ajili ya kutengenza chakula cha kuku na samaki.

“Kikundi pia kina mashine ya kuchanganyia chakula cha kuku yenye uwezo wa kuchanganya tani moja kwa wakati mmoja” aliongeza Tigelindwa.

TUSUMUKE waliishukuru Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kukiwezesha mkopo usio na riba kiasi cha shilingi 30,000,000.

“Mheshimiwa Mwenyekiti wa kamati na wajumbe wa kamati, kwa namna yoyote ile kikundi chetu cha TUSUMUKE hakiwezi kusema mafanikio yetu bila kukiri uwezeshwaji wa fedha ambazo ni mkopo kiasi cha shilingi 30,000,000 kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma chini ya Mkurugenzi na watendaji wake. Fedha hii imekuwa chachu ya kuongeza kasi ya kutekeleza malengo ya kikundi chetu” alisema Katibu wa kikundi.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Vedasto Ngombale aliushauri uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuwatafutia vijana hao eneo la kurasimisha shughuli zao. Alipongeza kwa mawazo yao ya kuanzisha na kutekeleza miradi katika kikundi hicho. Aidha, alimtaka mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali kukagua hesabu za kikundi hicho kwa mujibu wa sheria.

Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alisema kuwa Halmashauri yake imepanga kukopesha shilingi bilioni 3.3 katika mwaka wa fedha 2019/2020. “Hadi kufikia sasa Halmashauri imekopesha shilingi milioni 855 mwaka huu” alisema Kunambi.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.