• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Tuzo zatolewa kwa waliofanya vizuri mtihani kidato cha Nne 2021

Imewekwa tarehe: February 6th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MKOA wa Dodoma ulipata madarasa 776 pamoja na samani zake ikiwa ni juhudi za serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha miundombinu ya elimu mkoani hapa.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Dkt. Fatuma Mganga alipokuwa akitoa neno kuhusu tuzo za taaluma Mkoa wa Dodoma katika hafla ya utoaji tuzo kwa walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kidato cha Nne mwaka 2021 iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa LAPF jijini Dodoma.

Dkt. Mganga alisema kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imekuwa mstari wa mbele kuwekeza katika sekta ya elimu nchini. “Serikali inatekeleza mpango wa elimu ya msingi bila malipo kuanzia darasa la awali hadi kidato cha Nne. Serikali imeendelea kuimarisha miundombinu ya elimu kwa kiwango kikubwa. Kupitia fedha za mapambano dhidi ya Uviko-19, Mkoa wa Dodoma ulipata madarasa 776 pamoja na samani zake. Tunampongeza Rais wetu na serikali yake” alisema Dkt. Mganga.

Akiongelea lengo la hafla hiyo, alisema kuwa ni nia njema ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kuwatambua, kuwathamini na kuwapongeza walimu, wazazi na wadau wa elimu kwa kuongeza ufaulu katika mitihani.

Alisema kuwa matarajio ya Mkoa wa Dodoma ni kuingia katika nafasi tano za mwanzo. “Kupitia tuzo hizi, zitachangia katika kutoa hamasa kwa walimu na wanafunzi kufanya vizuri zaidi” alisema Dkt. Mganga.

Akiongelea tuzo hizo, alizitaja kuwa ni tuzo kwa shule za msingi za serikali zilizofaulisha kwa daraja A kwa masomo yote sita. Tuzo kwa shule za sekondari zilizofaulisha kwa daraja la I kwa pointi saba. Nyingine ni tuzo kwa wanafunzi wa shule za sekondari za serikali waliofaulu kwa daraja I pointi saba kwa wavulana na pointi saba hadi tisa kwa wasichana. “Tuzo ya nne ni walimu wa shule za sekondari za serikali waliofaulisha kwa daraja A kwa mtihani wa kidato cha Nne” alisema Dkt. Mganga.

Akiongelea waliofanikisha halfa hiyo, alimtaja Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuwa mstari wa mbele. “Napenda kutoa shukurani kwa wadau kuwezesha tukio hili. Kipekee nitoe shukrani sana kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru. Shughuli hii ilikuwa tuifanyie katika uwanja wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, kwa tahadhari ya mvua, nikamshirikisha Mkurugenzi wa Jiji nae kufadhili ukumbi huu” alisema Dkt. Mganga kwa sauti ya shukrani.

Mgeni rasmi Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Dkt. Fatuma Mganga alipokuwa akitoa neno kuhusu tuzo za taaluma Mkoa wa Dodoma katika hafla ya utoaji tuzo kwa walimu na wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa kidato cha Nne mwaka 2021 iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa LAPF jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.