• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Uchaguzi Mkuu Jumatano Oktoba 28, 2020 - NEC

Imewekwa tarehe: July 21st, 2020

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza rasmi siku ya Jumatano ya tarehe 28 Oktoba, 2020 kuwa siku ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Madiwani  wa Tanzania Bara ikitanguliwa na ratiba ya uteuzi wa wagombea na kampeni.

Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage, amesema Uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais, Ubunge, na Udiwani utafanyika tarehe 25 Agosti, 2020 na Kampeni za Uchaguzi zitaanza tarehe 26 Agosti, 2020 hadi 27 Oktoba, 2020.

Amesema Tume imetoa taarifa hiyo chini ya Ibara ya 41(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ikisomwa pamoja na vifungu vya 35B (1), (37) (1) (a) na 46 (1) vya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kifungu cha 48 (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292.

"Tume inapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa Ratiba ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Madiwani wa Tanzania Bara itakuwa kama ifuatavyo. Uteuzi wa Wagombea Kiti cha Rais na Makamu wa Rais, Ubunge, na Udiwani utafanyika tarehe 25 Agosti, 2020, kampeni za uchaguzi zitaanza tarehe 26 Agosti, 2020 hadi 27 Oktoba mwaka huu wa 2020 na Siku ya Uchaguzi itakuwa tarehe 28 Oktoba, 2020" amesema Jaji Rufaa (Mst) Kaijage.


Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage alipokuwa akitangaza ratiba ya uchaguzi leo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles wakiwa kwenye bango la Uchaguzi baada ya mwenykiti kutangaza ratiba ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam leo.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (kushoto) na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles waakiondoa pazia kufungua bango la Uchaguzi baada ya kutangazwa kwa ratiba ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam leo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.