• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Uchaguzi Serikali za Mitaa Dodoma Jiji shwari

Imewekwa tarehe: November 24th, 2019

ZOEZI la upigaji kura uchaguzi wa Serikali za mitaa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma limefanyika katika hali ya amani na usalama likishughudia mamia ya wananchi wakijitokeza.

Kauli hiyo imetolewa na msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro alipokuwa akiongea baada ya kukamilika kwa zoezi la upigaji kura jijini hapa leo.

Kimaro amesema kuwa zoezi la upigaji kura kwa uchaguzi wa viongozi wa Serikali za mitaa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma lilianza saa moja asubuhi na kumalizika saa 10 jioni kwa mujibu wa kanuzi za uchaguzi huo. “Vifaa vyote vilifika vituoni kwa wakati na wananchi wamehamasika na kujitokeza kuwapigia kura viongozi wanaowapenda” alisema Kimaro.

Akiongelea hali ya usalama katika zoezi hilo, Kimaro alisema kuwa zoezi hilo limefanyika katika hali ya amani na utumivu. “Hali ya ulinzi na usalama ilikuwa shwari, Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Dodoma ametimiza wajibu wake wa kikanuni wa kudumisha ulinzi na usalama katika vituo vyote” alisisitiza Kimaro.

Zoezi linaloendelea ni la kuhesabu kura zilizopigwa na matokeo yatatangazwa leo jioni baada ya zoezi kukamilika. “Matokeo yatatangazwa leo hii na yatabandikwa kwenye vituo husika vya upigaji kura” alisema msimamizi huyo.

Katika hatua nyingine Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo amelidhishwa na zoezi la upigaji kura lililofanyika katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Mhe Jafo alipata nafasi ya kutembelea vituo vya Chihikwi na Chadulu ‘B’ na kuridhishwa na zoezi linavyoendelea” alisema msimamizi huyo.

Halmashauri ya Jiji la Dodoma ina mitaa 222, mitaa 220 wagombea wake walipita bila kupingwa. Mitaa ya Chihikwi kaya ya Mbalawala na Chadulu ‘B’ kata ya makole ndiyo ilifanya uchaguzi ikihusisha vyama viwili, Chama cha Mapinduzi (CCM) na chama cha Alliance for African Farmers Party (AAFP).



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.