• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uwazi mtupu Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: November 6th, 2024

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

UCHAGUZI wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma unafanyika kwa uwazi kwa mujibu wa kanuni zilizopo ili wananchi wafurahie kukua kwa demokrasia.

Kauli hiyo ilitolewa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu mwenendo na shughuli mbalimbali za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zinazoendelea ofisini kwake leo.

Dkt. Sagamiko alisema kuwa hakuna mpango wowote wenye nia ovu ya kuminya demokrasia kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa viongozi wa mamlaka za serikali za mitaa. Alisema kuwa tangu mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaanza ulikuwa wa wazi na shirikishi ukiruhusu vyama vyote kushiriki kikamilifu.

Akiongelea zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kugombea nafasi za uongozi alisema kuwa vyama vyote 19 vilishiriki zoezi hilo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Halmashauri ya Jiji la Dodoma tunajivunia mafanikio haya ya kidemokrasia. Vyama 15 ndivyo vimechukua na kurudisha fomu kwa nafasi mbalimbali za uongozi” alisema Dkt. Sagamiko.

Akiongelea upotoshaji unaofanywa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mipango inayopangwa kuengua baadhi ya wagombea kutoka moja ya chama cha siasa alisema kuwa hakuna mipango hiyo. Alisema kuwa hakuna uteuzi wa wagombea uliofanyika hadi itakapofika tarehe 8 Novemba, 2024. Aidha, aliwata wananchi kuwapuuza wale wote wanaotaka kuleta taharuki katika jamii kwa kutoa taarifa za upotoshaji. “Sisi kwa umoja wetu, siyo tu tuzipuuze taarifa hizo za upotoshaji bali kuendelea kutoa elimu. Kuendelea kuwasisitiza wananchi kufuata kalenda ya matukio ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa uwazi ilibandika orodha ya wapiga kura ili watu waweze kuhakiki usahihi wa taarifa hizo.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.