• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

UDOM watoa Elimu ya Matumizi ya Takwimu na Usimamizi wa Ardhi

Imewekwa tarehe: January 19th, 2019

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Ndasi ya Sayansi ya Kompyuta na Elimu ya Masafa wametoa elimu kwa waheshimiwa madiwani na wataalam wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kuwajengea uwezo juu ya matumizi ya takwimu za mfumo rahisi wa kuboresha usimamizi wa ardhi kwa maendeleo ya Jiji la Dodoma.

Akifungua mafunzo hayo Mstahiki Meya  wa Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe amesema lengo la mafunzo haya ni kuwajengea waheshimiwa madiwani uwezo wa kufanya maamuzi yanayohusu  matumizi ya rasilimali ardhi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

"Ili kuweza kutuongezea nguvu za maamuzi tumeona hii warsha ni ya muhimu sana kwani itatufanya tuwe na nafasi ya kutoa maamuzi ambayo yamejikita katika takwimu". Alisema Prof. Mwamfupe.

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma Daktari Hektor Mongi amesema mafunzo haya yameratibiwa na Kituo cha Kimataifa cha Wataalam katika Kilimo (CTA) ili kuwafundisha madiwani na wataalam wa Jiji kuhakikisha Jiji la Dodoma linapangwa vizuri na liendeshwe  kwa kutumia mifumo ya teknolojia na takwimu.

Neema Mwaluko, Diwani wa Kata ya Kilimani amesema mafunzo haya yatarahisisha upangaji wa mji kupitia 'master plan' inayopitiwa upya, mpango huu utasaidia kupitia na kuboresha makazi maeneo ambayo bado hayajapimwa kama vile Mtaa wa Chinyoya.

Ongezeko kubwa la watu wanaohamia Dodoma wanaathiri sana mipango miji, hivyo juhudi kubwa zinatakiwa kuwekezwa kwenye kujua takwimu za ardhi na kutambua miundombinu ya barabara, shule, vituo vya afya na huduma za maji ili kukidhi mahitaji halisi ya watu kutokana na ongezeko hilo. Amesema Yona Kusaja Diwani wa Kata ya Kikombo.

Hata hivyo, madiwani wameomba warsha za kuwajengea uwezo wa kusimamia uboreshaji wa Jiji la Dodoma ziwepo mara kwa mara ili kupambana na changamoto za ongezeko la kasi ya watu wanaohamia jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.