• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Uhifadhi, utunzaji mazingira ni wajibu wetu sote - Mhe. Pinda

Imewekwa tarehe: October 16th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

UHIFADHI na utunzaji wa mazingira ni wajibu wa jamii nzima kwa lenygo la kujiondoa katika wimbi la umasikini na kujiletea maendeleo nchini.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda aliyekuwa mgeni rasmi katika zoezi la kupanda miti katika shule ya Sekondari Nala iliyopo jijini Dodoma leo.

Mhe. Pinda alisema kuwa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imesisitiza sana umuhimu wa uhifadhi na utunzaji wa mazingira hasa kupanda miti. “Tanzania ni taifa linaloamini katika kilimo kuwa kitatutoa katika umasikini. Ukijani ndiyo uchumi wenyewe. Uchumi wa kijani, ndio kwetu lazima tukubali kuwa ni jambo kubwa ambalo lazima tulisimamie vizuri. Kazi tuliyonayo sasa kama vijana wa CCM na CCM yenyewe ni kuhakikisha kwamba taifa hili tunalijengea mazingira ambayo yana miti ya kutosha kama mchango wetu katika kuhakikisha dunia inaendelea. Kila mwenyekiti wa shina apande angalau miti mitatu na kuhimiza upandaji miti katika mashina” alisema Mhe. Pinda.

Aidha, aliwataka viongozi wa CCM kupeleka ujumbe wa kupanda miti kwa watu wote. “Miti maji isipandwe karibu karibu, mti mwingine mzuri ni mwarobaini. Wito wangu makampuni binafsi yafikirie kuwezesha upatikanaji wa miti ili iweze kutolewa bila malipo” alisema Mhe. Pinda.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweli alisema “lazima tuwekeze kwenye taaluma ili vijana hawa wafaulu waje kuwa kama Mkurugenzi wa Fedha wa PSSSF mwanamama si ndiyo jamani! lakini pia wapate ajira kwenye viwanda vinavyokuja kujengwa Dodoma” Haitatokea muujiza kama hatuwekezi kwenye elimu. Kwa hiyo niwaombe sana wazazi, chama kwenye ngazi ya Kata, Tawi na Shina pamoja na agenda zingine, agenda ya mazingira na elimu ziwe agenda za kudumu kuhamasisha watu wetu wasome na kushiriki katika uchumi wa makao makuu ya nchi” alisema Shekimweli.

Zoezi la upandaji miti katika shule ya sekondari Nala iliyopo katika Kata ya Nala liliongozwa na Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya, Katibu wa CCM Wilaya, Mbumbe, Diwani wa Kata, Madiwani wa Viti hMaalum, maafisa waandamizi kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma na Jumuiya ya Shule ya Sekondari ya Nala ambapo jumla ya miti 700 ilipandwa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.