• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi wafikia asilimia 59

Imewekwa tarehe: June 4th, 2019

MRADI wa ujenzi wa kituo cha kisasa cha mabasi unaojengwa katika Halmashauri ya jiji la Dodoma umefikia asilimia 59 na kuwafanya wakazi na wageni kufurahia hatua hiyo.

Hayo yamesemwa na Mhandisi mshauri wa mradi huo, Mhandisi Emmanuel Mahimbo alipokuwa akitoa taarifa fupi ya hali ya ujenzi wa mradi huo kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwita Waitara ambaye amefanya ziara ya kutembelea mradi huo leo.

Mhandisi Mahimbo alisema “hadi sasa mradi wa ujenzi wa kituo cha kisasa cha mabasi umefikia asilimia 59”. Kazi kubwa inayoendelea ni ujenzi wa sehemu ya juu ya jengo hilo na kupanda bustani za maua, aliongeza. Kazi nyingine alizitaja kuwa ni ujenzi wa barabara za kuingia na kutoka katika kituo hicho pamoja na kuweka ‘paving blocks’. Mhandisi huyo mshauri, alimtaarifu Naibu Waziri kuwa ujenzi huo hauna changamoto yoyote katika utekelezaji wake. Akiongelea matarajio ya kumalizika mradi huo, alisema kuwa ifikapo mwezi Septemba, 2019 utakuwa umekamilika.

Nae Mkurugenzi wa jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alisema kuwa kituo hicho cha kisasa cha mabasi kinajengwa katika eneo lenye ekari 60 kikiwa na uwezo wa kuhudumia watu 4,000 kwa wakati mmoja. “Mradi wa kituo cha kisasa cha mabasi na soko la kisasa kwa pamoja imegharimu zaidi ya shilingi bilioni 35 zikiwa ni fedha kutoka serikali kuu ambazo ni mkopo wa benki ya dunia” alisema Kunambi.

Kwa upande wake, Naibu Waziri, Waitara alipongeza maendeleo ya miradi hiyo mikubwa ya kimkakati na kusema kwamba italifanya jiji la Dodoma kuonekana jipya na tofauti.

Ikumbukwe kuwa mkataba wa ujenzi wa kituo cha kisasa cha mabasi cha halmashauri ya jiji la Dodoma kilichopo katika kata ya Nzuguni ni miezi 15 kuanzia mwezi Julai, 2018.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.