• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ummy apongeza mfumo wa Jiji la Dodoma usafi wa taka ngumu

Imewekwa tarehe: January 6th, 2021

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) amezielekeza halmashauri zote nchini kuwa na miundombinu bora ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka ili kulinda afya za wananchi.

Waziri Ummy ametoa maelekezo hayo leo Januari 6, 2021 baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika soko la Majengo Jijini Dodoma kwa lengo ni kuangalia mfumo mzima wa ukusanyaji, uhifadhi na usafirishaji taka.

Akifafanua Waziri amesema, sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake inazitaka halmashauri za manispaa, wilaya, miji na majiji kuweka mfumo bora wa kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka.  

“Nimefurahi kuona Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameweka mfumo mzuri na miundombinu bora ya kuhakikisha kwamba taka ngumu zinakusanywa na kusafirishwa kupelekwa dampo, na bahati nzuri nimeuliza wanawake hawa (waliokuwa karibu) na wamenihakikishia kwamba taka hazikai zaidi ya siku moja,

Nitumie fursa hii kuipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuwa na mfumo mzuri wa ukusanyaji, uhifadhi na usafirishaji taka” amesema Waziri.

Aidha, Waziri Ummy amesema hii ni mwanzo, angetamani kuona wanaboresha zaidi na pia ametumia fursa hiyo kuzitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha kwanza wanakuwa na miundombinu bora ya kuhifadhi, kukusanya na kusafirisha taka, akitolea mfano wa Jiji la Dodoma ambao wana gari na wana vizimba vinavyotumika kukusanyia taka, pili amesema ni kuhakikisha pale ambapo halmashauri wanapotoa kandarasi kwa watu wa kukusanya na kusafirika taka, watu hao wawe na vifaa bora.

Vilevile, amesema utafanyika ukaguzi kwa kila halmashauri wajitathmini kuhusu kandarasi walizotoa kwa ajili ya kukusanya, kuhifadhi na kusafirisha taka kama wana vifaa bora, watumishi wenye vigezo, sifa na kama wana vifaa vya kuwakinga watumishi wanaokusanya taka.

Tunataka masoko yetu yawe safi na salama kwa wanaouza na wananchi wanaofika sokoni kupata mahitaji yao ya kila siku.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.