• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ummy Mwalimu alipongeza Jiji la Dodoma kwa uwanja wa kisasa wa kikapu Chinangali Park

Imewekwa tarehe: November 14th, 2020

Akiyekuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa serikali ya awamu ya tano kipindi cha kwanza, Ummy Mwalimu ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuwa na uwanja wa kisasa kwa ajili ya mchezo wa mpira wa kikapu.

Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Tanga Mjini aliyasema hayo leo alipotembelea Bustani ya Mapumziko ya Chinangali jijini hapa yanaponedelea mashindano ya kitaifa ya mpira wa kikapu “CRDB Bank Taifa Cup”.

Mbunge Ummy aliyewasili katika bustani hiyo majira ya saa 6:37 mchana kwa ajili ya kuishangilia timu ya Mkoa wa Tanga inayoshiriki mashindano hayo, alisema kuwa viwanja vya mpira wa kikapu ni moja ya viwanja bora nchini. Napenda kulipongeza Jiji la Dodoma kwa kuwa na viwanja vizuri kiasi hiki.

Aidha, Mbunge huyo aliishauri Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuangalia jinsi ya kuongeza vivutio ili kuwawezesha wananchi wengi kufika eneo hilo kwa ajili ya mapumziko ikiwepo nyama choma.

Pamoja na Mbunge huyo wa Tanga mjini, wabunge wengine kutoka mkoa wa Tanga waliotembelea mashindano hayo kutoka Mkoa wa Tanga ni Hamis Mwinjuma (Muheza), Jumaa Aweso (Pangani).

Ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma ndiyo Halmashauri pekee nchini yenye bustani ya kisasa ya aina yake na inatarajia kufanya mnada wa hadhara wa kumpata muwekezaji wa kuendesha eneo la Bustani ya Mapumziko ya Chinangali tarehe 21 Novemba, 2020 saa 3:00. Bustani hiyo ina viwanja vya kisasa kwa ajili ya mchezo wa mpira wa kikapu, tenisi, wavu, mabwaya ya kuongelea yenye viwango vya Olympic, jukwaa la sanaa na GYM.

Mhe. Ummy Mwalimu (Tanga), Mhe. Hamis Mwinjuma (Muheza) na Mhe. Jumaa Aweso (Pangani), Phares Magesa (kiongozi wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania) wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Timu ya mpira wa Kikapu ya Mkoa wa Tanga kwenye viwanja vya Bustani ya Mapumziko ya Chinangali jijini Dodoma yanapofanyika machindano ya taifa ya mpira wa kikapu. (Picha kwa hisani ya Clouds Digital)

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.