• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

USCAF yakabidhi Kompyuta 5, Mavunde mifuko 50 ya saruji Mtumba Sekondari

Imewekwa tarehe: March 16th, 2020

Mfuko wa Mawasiliano (USCAF) umekabidhi Kompyuta 5 na Printer 1 zenye thamani ya shilingi 11,000,000 kwa Shule ya Sekondari Mtumba, hafla iliyohudhuriwa na Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Mhe. Anthony Peter Mavunde, Diwani wa Kata ya Mtumba Mhe. Edward Maboje, wazazi na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtumba siku ya Ijumaa ya tarehe 13 Machi, 2020

Pamoja na makabidhiano hayo Mbunge Mavunde pia alikagua ujenzi wa jengo la Maabara ambalo aliweka jiwe la msingi mwaka 2016.

Katika kuunga mkono jitahada za Uongozi wa Shule na nguvu za wananchi Mbunge huyo amechangia mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa bweni la wanafunzi, kuweka umeme nyumba za Walimu na vifaa vya michezo.

Naye Diwani wa Kata ya Mtumba, Mhe. Edward Maboje amemshukuru Mbunge Mavunde kwa namna ambavyo amesaidia kutatua changamoto za sekta ya Elimu katika kata hiyo na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika kuhudumia wananchi.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde akiwahutubia wazazi na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtumba leo wakati wa Hafla ya kukabidhi Kompyuta 5 Printer 1 zenye thamani ya Tsh 11,000,000 zilizofadhiliwa na Mfuko wa Mawasiliano. (USCAF).

Diwani wa Kata ya Mtumba, Mhe. Edward Maboje ameushukuru Mfuko wa Mawasiliano (USCAF) na Mbunge Mavunde kwa namna ambavyo amesaidia kutatua changamoto za sekta ya Elimu katika kata hiyo na kuahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwao.


Kwa furaha kikundi cha utamaduni kutoka Kata ya Mtumba wakitumbuiza wakati wa hafla ya makabidhiano ya kompyuta na printer kwa shule ya sekondari Mtumba.

Vifaa vya TEHAMA zikiwemo Kompyuta na 'Printer' vilivyokabidhiwa kwa Shule ya Sekondari ya Mtumba.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini Mhe. Peter Mavunde akikagua ujenzi wa Maabara ya sayansi, jengo ambalo Mhe. Mavunde aliweka jiwe la msingi mwaka 2016.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mtumba siku ya kukabidhiwa kompyuta na printer.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.