• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ushirikiano ndio nguzo muhimu katika kuboresha sekta ya Elimu

Imewekwa tarehe: November 18th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

DIVISHENI ya Elimu Sekondari Halmashauri ya Jiji la Dodoma imesema kuwa ushirikiano baina ya Baraza la Madiwani, Menejimenti ya halmashauri na walimu unaifanya divisheni hiyo kutembea kifua mbele katika kuboresha sekta ya elimu na kutoa matokeo mazuri kwa wanafunzi wanaofanya mtihani wa taifa wa kidato cha Nne mwaka 2022.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alipokuwa akiongelea umuhimu wa ushirikiano katika kutoa matokeo bora kwa wanafunzi wa sekondari jijini hapa.

Mwalimu Rweyemamu alisema “niwashukuru sana walimu wangu kwa jinsi walivyopambana na kuwapigania wanafunzi wetu wanaofanya mtihani wa taifa wa kidato cha Nne. Niwashukuru sana wakuu wa shule wamekuwa na ushirikiano na divisheni yangu. Hakika mikakati tunayoandaa na kuiteremsha kwao wanatekeleza kwa weledi mkubwa. Mimi kama kiongozi wao niwashukuru sana kwa kazi nzuri na hakika vijana tumewaandaa vizuri” alisema Mwalimu Rweyemamu.

Aidha, alishukuru ushirikiano anaoupata kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Kama mkuu wa divisheni unaweza kuwa na mawazo mazuri ya jinsi ya kuboresha taaluma, lakini usipopata uungwaji mkono wa mkurugenzi huwezi toboa. Mkurugenzi amekuwa msaada mkubwa sana kwetu na hata gharama za wanafunzi na posho za walimu waliokuwa wakiwasaidia wanafunzi hawa amewezesha na kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri. Natamani matokeo ya watoto hawa yawe mazuri ili aweze kupata faraja. Kipekee niwashukuru wajumbe wa Baraza la Madiwani la Jiji la Dodoma wakiongozwa na Mstahiki Meya. Wamekuwa kweli ni msaada mkubwa sana kwenye Divisheni ya Elimu Sekondari. Matunda haya ninayopata siyo kwamba napigana mwenyewe nina nguvu kubwa ya viongozi wangu pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Uchumi na Afya ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma” alisema Mwalimu Rweyemamu.

Halmashauri ya Jiji la Dodoma ina vituo 54 vitakavyofanya mtihani wa kidato cha Nne, ikiwa na jumla ya watahiniwa 6,647 ambao watafanya mtihani wa taifa wa kidato cha Nne, wavulana wakiwa 3019 na wasichana 3,628.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.