• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

utekelezaji wa kampeni ya ‘Kijanisha Dodoma’ Miti takribani 988 yapandwa na watumishi Dodoma

Imewekwa tarehe: December 11th, 2024

Na. Hellen M. Minja,

Habari – DODOMA RS

Katika utekelezaji wa kampeni ya ‘Kijanisha Dodoma’, Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma pamoja na Watumishi wa taasisi mbalimbali za Serikali Mkoani hapa,wakiongozwa na Katibu Tawala Mkoa Bw.Kaspar Mmuya, wamepanda miti takribani 988 katika maeneo tofauti Jijini Dodoma.

 “Tumeweza kupanda Miti kando kando ya barabara na maeneo ya wazi, lengo likiwa ni kufanya mji wetu wa Dodoma uonekane msafi, uwe na rangi ya kijani,lakini pia barabara hizo zituzwe ili kuzuia mmomonyoko na kupata kivuli” Bw. Mmuya

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri ambaye ameshiriki upandaji miti amesema lengo ni kutunza barabara.

“Tumeona tujielekeze kwenye kuhifadhi barabara zetu na kuzifanya ziwe nadhifu na mandhari nzuri, kwani barabara hizi bado hazijakabidhiwa na zipo kwenye hatua za umaliziaji hivyo tutawasiliana na Wakandarasi ili wafanye kurudisha kwa jamii kwa kuunda vikundi vya uangalizi wa miti hii” Mhe. Shekimweri

Akiongea kwa niaba ya Wakuu wa Taasisi zilizopo katika Mkoa wa Dodoma zilizoshiriki katika zoezi hilo, Mkurugenzi Mtendaji wa TARURA Mkoa wa Dodoma Mhandisi Edward Dimelo amesema;

“Miti hii ni muhimu kupandwa kwenye barabara kwani inasaidia sana kutunza barabara zetu. Wananchi wanaweza kuwa mashahidi kipindi hiki cha mvua, sehemu nyingi zimekua na mmomonyoko wa udongo kwa sababu hakuna miti ila kwa kupanda miti hii, tunakwenda kuzuia mmomonyoko wa udongo na barabara zetu zitakua katika hali nzuri”

Maeneo yaliyopandwa miti katika utekelezaji wa kampeni hiyo ni pembezoni mwa barabara ya Mlimwa C kuzunguka ukuta wa makazi ya Waziri Mkuu yenye urefu wa Km 2.6 ambao imepandwa miti 588 pamoja na barabara ya Bima yenye urefu wa Km 2 iliyopandwa miti 400.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.