• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii waanza

Imewekwa tarehe: June 17th, 2024

Serikali ya awamu ya sita (6) inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Mkoani Geita.

Akifungua Kikao cha Uraghibishaji wa Mpango huo kwa Viongozi Waandamizi wa Mkoa, Wilaya, na Halmashauri, Mhe. Said Nkumba Mkuu wa Wilaya ya Chato kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Geita amesema Mpango huo una mchango mkubwa.

“Mpango huu sasa utasaidia kuimarisha jitihada za kuinua hali ya utekelezaji wa huduma za Afya ngazi ya jamii ili kufikia Afya kwa wote”.amesema.

Ameendelea kufafanua kuwa kupitia Mpango huu, Mkoa utakuwa na matokeo mazuri zaidi katika wigo mpana wa Afya kwa ujumla ikilinganishwa na hapo awali .

“Tulijikita katika maeneo kadha wa kadha hususan katika eneo la utoaji wa elimu na hamasa kwa jamii kupitia Wahudumu 1134 waliokuwepo awali,hivyo kupitia Mpango huu utakuwa na matokeo mazuri”amesema.

Nae Katibu Tawala wa Mkoa (Ndg. Mohamed Gombati) amezitaka ngazi zote za kiutendaji kuepuka njama, dhuluma, rushwa au udanganyifu wowote unaoweza kuharibu ufanisi na ubora wa utekelezaji wa Mpango huu “leo mtaona tumejumuisha Viongozi wenzetu wa Usalama na TAKUKURU ngazi ya Mkoa, hivyo niwaombe pia mkafanye hivyo hivyo katika maeneo yenu ili tufanikiwe kwa pamoja”amesema.

Aidha, Katibu Tawala huyo amezitaka Halmashauri kukamilisha kwa haraka zoezi la kuwatambua Wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii (mapping CHW) waliopo ili kutokwamisha jitihada hizi nzuri za Serikali.

Akitoa salamu za ukaribisho na utambulisho, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita Dkt. Omari Sukari amewaomba Viongozi watendaji wa Idara ya Afya ndani na Mkoa na Halmashauri zote kuzingatia mwongozo wa programu na maelekezo ya Viongozi na kushiriki vema ili kusaidia utekelezaji wa Mpango huu.

Kwa upande wao Wawakilishi kutoka Wizara ya Afya, na Ofisi ya Rais TAMISEMI(Bw. Simon Nzilibili na Mathew Mganga) waliwezesha mawasilisho mawili yaliyolenga kuongeza uelewa, hamasa na taratibu za kufuata katika kuchagua na kutekeleza Mpango huo jumuishi na hatimaye kuimarisha huduma za afya

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.