• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Uzinduzi jengo la Mahakama Kibaigwa, Spika Ndugai apongeza

Imewekwa tarehe: October 7th, 2021

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Mhe. Job Ndugai ameshiriki uzinduzi wa Jengo la Mahakama ya Mwanzo Kibaigwa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma leo Octoba 7, 2021.

Akizungumza katika uzinduzi huo Spika Ndugai alihimiza kituo hicho kitoe haki na kuwaomba viongozi wa wadini kusisitiza suala la haki katika sehemu zao.

"Nchi ikikosa haki basi imekosa kuwa karibu na Mungu" alisema Spika Ndugai.

Aliongezea kuwa haki ikicheleweshwa ni kama imekosekana, hivyo Mahakama inatakiwa kutekeleza haki zote ili haki hizo zionekane na kupatikana.

Aidha, alikemea ukatili wa kijinsia  na kutaka uachwe mara moja hasa kwa wamama wajane wanaokosa haki zao au kucheleweshewa.

Alimalizia "sisi Bunge tunauheshimu muhimili wa Mahakama na tutaendelea kuwapa kila aina ya ushirikiano katika kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao."

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Najma Giga alisema kamati itaendelea kudumisha uhusiano mzuri na Mahakama ya Tanzania.

"Naipongeza Mahakama kwa miundombinu na teknolojia ya mawasiliano kwa kupiga hatua kubwa wanastahili pongezi", alisema Mwenyekiti Giga

Aidha, aliishuruku Mahakama kwa majengo mengi na mazuri yanayoendana na kiasi cha fedha kilichotumika.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa akiwemo Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Prof. Elisante Ole Gabriel, Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Prof. Sifuni Mchome, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya katiba na Sheria, Bw. Amon Mpanju, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Dodoma, Mhe. Mustapher Siyani na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Remedius Mwema.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.