• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vifaa vya kupima maji vitumike mara baada ya mafunzo

Imewekwa tarehe: July 20th, 2025

Na. WAF, Morogoro

Wataalam wa afya kutoka Halmashauri mbalimbali nchini wametakiwa kutumia ujuzi waliopata kwenye mafunzo ya usalama wa maji ya kunywa kwa kuchukua na kupima sampuli za maji ili kusaidia jamii kujikinga na magonjwa ya mlipuko hasa yanayosababishwa na maji ya kunywa.

Hayo yamebainishwa leo Julai 18, 2025 na Afisa Afya Mazingira Mwandamizi kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Bw. Sasita Shabani wakati wa kufunga mafunzo hayo rasmi yaliyofanyika kwa siku tatu mkoani Morogoro.

Amesema wataalam hao wanatakiwa kuzingatia lengo la mafunzo hayo na kutimiza wajibu wao wa kulinda afya za wananchi hasa kwenye maji ambayo ndiyo msingi mkubwa kwenye maisha ya kila siku.

Kwa upande wake Mkuu wa Sehemu ya Chakula Salama, Maji Salama na Usafi wa Mazingira kutoka Wizara ya Afya, Bw. Anyitike Mwakitalima, amewaasa wataalam wa afya waliopata mafunzo ya jinsi ya kupima na kugundua sampuli za maji kuhakikisha wanatumia elimu hiyo kwa vitendo katika maeneo yao ya kazi ili kutimiza lengo la Serikali la kutoa mafunzo hayo.

Naye, Afisa Afya Mazingira mkuu Wizara ya Afya Mariam Mashimba, amewasihi wataalam waliopata mafunzo hayo kujua umuhimu wa kuandaa ripoti ambayo itasaidia wakati wa uchukuaji sampuli kwa kuhusisha vyanzo vyote vya maji vitakavyochukuliwa eneo husika ili kugundua kata zinazotumia vyanzo vya maji visivyo salama na idadi ya watu wanaoathirika kwa takwimu sahihi.

Kwa upande wake Mteknolojia Maabara Hospitali ya Rufaa Morogoro Herieth Goodluck ambaye pia ni mnufaika wa mafunzo hayo, amewakumbusha wataalam wa afya kutumia nyenzo za kujilinda kama barakoa, glovu na viatu vya maji wanapokwenda kuchukua sampuli ili kujiepusha na magonjwa yanayoweza kutokea wakati wanapotimiza majukumu yao.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Shekimweri: Maafisa tarafa na Watendaji wa kata zingatieni Maadili na Uwajibikaji

    July 23, 2025
  • Serikali yatoa bilioni 298 kugharamia matibabu ya Kifua kikuu, Ukimwi na Malaria nchini

    July 22, 2025
  • Ushirikiano kati ya tanzania na canada waipaisha sekta ya afya

    July 21, 2025
  • Vifaa vya kupima maji vitumike mara baada ya mafunzo

    July 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.