• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana 16,000 wanufaika mradi wa Kizazi Kipya

Imewekwa tarehe: August 23rd, 2021

MRADI wa Kizazi Kipya uliokuwa unatekelezwa katika jiji la Dodoma kuanzia mwaka 2016 umewanufaisha watoto, vijana na walezi wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kusaidia huduma za afya ikiwemo VVU na UKIMWI, elimu, lishe na kuboresha kipato cha kaya.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa shirika la Action for Community Care – ACC, Pendo Maiseli wakati akizungumzia mradi huo katika mkutano wa kufunga mradi uliofanyika katika ukumbi wa Dodoma Hotel.

Mkurugenzi Maiseli alisema mradi wa Kizazi Kipya ulijikita zaidi katika kusaidia watoto na vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi pamoja na familia zao kwa lengo la kuwapatia huduma muhimu na kuboresha maisha yao.

“Watoto na vijana waliofikiwa ni wale wanaoishi majumbani ambao walikuwa wanahudumiwa na shirika la Action for Community Care, na wale wanaoishi na kufanya kazi mitaani wakihudumiwa na shirika la KISEDET” alisema Maiseli.


Akitoa ushuhuda wa namna alivyonufaika na mradi wa kizazi kipya, mnufaika Frank Mlewa alisema kuwa mradi huo umemsaidia kupata ujuzi wa ufundi kwa sababu alipelekwa kusoma ufundi katika chuo cha VETA. “Mradi umenikuta nikiwa mtaani, tulikuwa wengi ulitukusanya ukatuunganisha pamoja ukatupa elimu katika chuo cha ufundi na sasa ni fundi naweza kujitegemea na nimepanga kwa sasa najitegemea” alisema Mlewa.

Kwa upande wake mnufaika Chipegwa Jonas alielezea vile ambavyo mradi huo umeweza kumnufaisha kwa kugharamikia gharama za masomo na afya. “Walikuja wakampa mama mtaji, walikuwa wananihudumia vitu vya shule, nilipofaulu nikawataarifu na bado wanaendelea kunisomesha” alisema Jonas.

Mradi wa kizazi kipya ulianza mwaka 2016 na umehudumia jumla ya watoto, vijana na walezi takribani 16,000 na unatarajiwa kuisha Septemba 2021 ukisimamiwa na kutekelezwa na mashirika ya Action for Community Care (ACC) na KISEDET ambayo yanapokea fedha kutoka Pact Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA MAKARANI WAOGOZAJI WAPIGA KURA October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.