• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana 100 wafunzwa Kilimo cha kisasa

Imewekwa tarehe: March 6th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma kupitia Idara ya Kilimo imeainisha vijana 100 ambapo kati yao vijana 20 wenye uzoefu wa ufundi wa ujenzi wa nyumba, useremala au uchomeleaji wamepatiwa mafunzo ya kujenga Kitalu Nyumba (Green House) ili kuwapatia ujuzi na kutumia fursa ya kilimo hicho ikiwa ni juhudi za kuongeza ajira kwa vijana.

Mafunzo hayo yametolewa katika eneo la Viwanja vya Maonyesho ya Kilimo Nanenane katika Kata ya Nzuguni Jijini humo, ambapo vijana hao wanatoka katika Kata mbili za Nzuguni, Ihumwa, Msalato, Michese na Miyuji.

Vijana wengine 80 wataungana na wenzao 20 na kupatiwa mafunzo ya ulimaji wa mboga mboga kwa kutumia Kitalu Nyumba kuanzia Machi 4 hadi 8, mwaka huu.

Kwa mujibu wa Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Yustina Munishi kuhusu mradi huo, baada ya mafunzo kwa vijana hao kutolewa na Kitalu Nyumba kujengwa, kitaunganishwa na mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone kabla ya kazi ya uzalishaji kuanza.

“Vijana hawa wametoka kwenye Kata za Nzuguni na Ihumwa ambapo ni jirani na eneo la mradi (Uwanja wa Nanenane) ili kuwapunguzia gharama” alisema.

Kwa mujibu wa Ofisa huyo, kwa sasa ujenzi wa Kitalu nyumba tayari umekamilika na shughuli ya kuunganisha na kujaribu mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone inaendelea.

Mafunzo hayo ni juhudi za Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu katika utekelezaji wa Programu ya Taifa ya Kukuza Ujuzi Nchini ambapo katika mwaka wa fedha 2018/19 pamoja na shughuli nyingine za kukuza ujuzi, imepanga kuwezesha nguvu kazi ya Taifa, hususani kundi la vijana ili wapate ujuzi na stadi katika kilimo kwa kutumia teknolojia ya Kitalu Nyumba (Green house technology).

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.