• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana rika la balehe 13,218 Mkoa wa Dodoma wanufaika na utekelezaji wa mradi wa Ahadi

Imewekwa tarehe: July 25th, 2025

Na: Hellen M. Minja

Habari - DODOMA RS

Mradi wa AHADI unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la 'World Vision Tanzania' kwa ushirikiano na Taasisi ya Tanzania Home Economics Association (TAHEA) unatajwa kuwanufaisha vijana rika balehe 13,218 wa Mkoa wa Dodoma kwa kuwafikia kwa elimu ya afya ya uzazi, kupinga ukatili wa kijinsia na stadi za maisha.

Hayo yamebainishwa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma CPA. Eric Ntikahera ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi wakati wa kikao cha uzinduzi wa mbinu ya uwezeshaji jamii katika utoaji wa elimu ya ukatili wa kijnsia kupitia viongozi wa madhehebu ya dini kilichofanyika katika ukumbi wa Mesuma Jijini Dodoma Julai 23, 2025.

“Mradi wa AHADI kwa kipindi cha miaka mitatu umekua na manufaa makubwa katika Mkoa wa Dodoma kwa kuwafikia kwa elimu ya afya ya uzazi, elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia na stadi za maisha jumla ya vijana rika balehe 13,218 ambapo 2,639 ni wale walio nje ya shule (Ke-1,394 na Me-1,245) huku 10,579 (Ke-5504 na Me- 5,066) wakiwa katika shule 20 za msingi na sekondari”.

Aidha, Mkurugenzi Mwandamizi wa World VisionTanzania Dr. Joseph Mayalla, amesema katika kipindi alichotumikia Shirika hilo, ameona mabadiliko chanya pale ambapo viongozi wa dini walipopewa nafasi ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi huu kwani wanatoa huduma mbalimbali kupitia nyumba zao za ibada ambazo huleta matokeo kwa haraka.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa TAHEA, Bw. Peter Mapunda kutoka Taasisi hiyo amesema Mradi huo umefanikiwa kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 409 kutoka Kata 10, vikundi vya vijana 138 vilifikiwa kwa elimu ya ujasiriamali, elimu ya utekelezaji wa bustani kwa vijana 363 wanaojiandaa kuingia kwenye malezi ya familia pamoja na vijana 2,639 waliunganishwa na kupatiwa huduma mbalimbali za afya.

Nae Bw. Kasei Msuya kutoka World Vision Tanzania, amesema mradi unalenga pia kuwafikia wazazi zaidi ya 274,000 na Viongozi wa madhehebu ya dini zaidi ya 2,110 waliopo Dar es Salaam na Dodoma hivyo, baada ya kikao hicho, viongozi hao watakua na jukumu la kufikisha taarifa.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • ACTIF 2025 Itoe majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji- Majaliwa

    July 30, 2025
  • Serikali yaongeza mashine mpya tatu za Tiba mionzi

    July 29, 2025
  • Mfumo wa Ufundishaji mubashara mbioni kutumika nchi nzima

    July 28, 2025
  • Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati aikabidhi Taasisi ya Benjamin Mkapa hundi ya shilingi mil. 200

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.