• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana wajiunga na kujiajiri kwenye TEHAMA na Umeme

Imewekwa tarehe: July 28th, 2021

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge maalum wa Uhuru kitaifa mwaka 2021, Lt. Josephine Mwambashi amekipongeza kikundi cha vijana cha Dodoma Data Tech TEHAMA na Umeme kwa uamuzi wao wa kujiunga na kujiajiri.

Pongezi hizo alizitoa wakati Mwenge maalum wa Uhuru mwaka 2012 ulipotembelea ofisi za kikundi hicho zilizopo Mtaa wa CDA jijini Dodoma.

Lt. Mwambashi alikipongeza kikundi hicho kwa kazi kinazofanya. “Kama vijana 10 wangeamua kuingia mtaani na kufanya uhalifu au wizi ni idadi kubwa, ila hawa wameamua kuungana kujiajiri. Niwapongeze Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuwapatia mtaji vijana hawa. Pia inawezekana kwa vijana kujiunga pamoja na kuanzisha mradi mkiwa na mtaji kidogo. Hii inawezekana, baada ya kuanza wadau wengine wataunga mkono” alisema Lt. Mwambashi.

Ni ukweli usiopingika kuwa serikali haiwezi kuajiri watu wote, lazima kuweke juhudi za kujiajiri wenyewe, alisema na kuwapongeza vijana hao.

Akiwasilisha taarifa ya kikundi hicho, Katibu wa kikundi, Efrem Mwalwebe alisema kuwa kikundi hicho kinaundwa na vijana 10, na kilianza mwaka 2020. Alisema kuwa kikundi kinajishughulisha na masuala ya TEHAMA na Umeme katika nyanja za ufundi. “Kikundi kilikuwa na kusajili kampuni tarehe 30 Machi, 2021 ambapo wazo lilitokana na changamoto katika upatikanaji wa kazi kubwa kwa kuwa kampuni inaaminika zaidi kuliko kikundi. Kikundi kiliomba mkopo na kufanikiwa kupata fedha kiasi cha shilingi 40,000,000 kutoka asilimia nne ya mkopo wa vijana unaotolewa na halmashauri” alisema Mwalwebe.

Kuhusu lengo la mkopo, alisema kuwa mkopo ulilenga kukiwezesha kikundi kupata vifaa vya kazi, ofisi na usafiri. Malengo mengine ni kushawishi matumizi ya mifumo ya TEHAMA na hatimae kujikwamua kiuchumi. Lengo lingine alilitaja kuwa ni kuisaidia serikali kupunguza tatizo la ajira kwa kutoa fursa za ajira kwa vijana wengine.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alimshukuru Kiongozi wa Mwenge maalum wa Uhuru kitaifa kwa kuridhia kazi zinazofanywa na kikundi hicho. Aidha, aliwashukuru wananchi waliojitokeza kwa wingi kuushangilia Mwenge maalum wa Uhuru mwaka 2021 wilayani Dodoma.

Mwenge maalum wa Uhuru mwaka 2021 unaongozwa na kaulimbiu isemayo “TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu; itumie kwa usahihi na uwajibikaji”

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.