• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana wakumbushwa uaminifu wa mikopo

Imewekwa tarehe: August 27th, 2021

Na Sifa Stanley, DODOMA.

VIJANA wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameaswa kuwa waaminifu katika urejeshaji wa mikopo wanayopatiwa ili waendelee kunufaika na mikopo nafuu inayotolewa na Serikali.

Hayo yalisemwa na Mkuu Wa Idara ya Maendeleo ya Jamii na Vijana, Asha Vuai alipokuwa akitoa ufafanuzi wa suala la mikopo kwa vijana wakati wa mkutano wa afua ya afya ya uzazi na maendeleo ya vijana uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma uliohusisha mashirika mbalimbali yasiyo ya kiserikali.

Vuai alisema kuwa, vijana lazima wajitambue na waoneshe uaminifu ili wapatiwe mikopo na serikali, ambapo uaminifu huo wanapaswa wauoneshe kwa kufanya miradi ya maendeleo kupitia fedha hizo pamoja na kurejesha mikopo waliyopatiwa kwa wakati.

“Vijana hawajitambui na hawatambui kuwa serikali ina lengo la kuwasaidia kujikwamua kiuchumi, inabidi wawe waaminifu ili mikopo iwe yenye manufaa” alisema Vuai.

Naye Afisa Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Manyama Mufungo alisema kuwa Serikali imejizatiti kuwakwamua vijana kiuchumi lakini bado kuna changamoto kwa baadhi ya vikundi vya vijana katika urejeshaji wa mikopo na wengine kutokuwa na  elimu ya biashara na miradi yakuanzisha baada ya kupatiwa mikopo.

“Vijana hawana uelewa wakutosha kuhusu mikopo hii, unakuta kijana anakuja na kusema mimi nataka nipatiwe basi ama kikundi kinakuja na kusema sisi tunataka tupatiwe fedha tuchimbe kisima miradi inayogharimu fedha nyingi, wanasema hayo bila hata yakufanya tathimini ya mradi wao, pia baadhi vijana siyo waaminifu kurejesha mikopo” alisema Mufungo.

Aidha, Mratibu wa Afya ya Uzazi na Vijana, Fidei Obimbo alisema kuwa vijana wanapaswa kupatiwa elimu ihusuyo afya ya akili ili waweze kupata uelewa wa umuhimu wa urejeshaji wa mikopo hiyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.