• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana wanufaika wa BBT washukuru, waahidi mapinduzi ya kilimo

Imewekwa tarehe: July 4th, 2023

VIJANA waliopo katika mafunzo ya Kilimo chini ya Programu ya Building A Better Tomorrow (BBT) katika kituo cha Mafunzo cha Bihawana-Dodoma wameishukuru serikali chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuja na program hii ya BBT ambayo imekuwa na mchango mkubwa katika kuwaongezea maarifa juu ya kilimo Biashara na hivyo kuwaandaa kuja kushiriki kikamilifu katika sekta ya kilimo.

Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Vijana hao Ndg. Razack Mbaraka wakati wa ziara ya Naibu waziri wa Kilimo Mh. Anthony Mavunde kutembelea kituoni hapo na kujionea mafunzo yanayoendelea kwa vijana hao.

“Tunamshukuru Mh Rais Samia Suluhu Hassan na Wizara ya Kilimo chini ya uongozi wa Mh. Hussein M. Bashe kwa fursa hii ya mafunzo ya kilimo na kumilikishwa ardhi kwa vijana kupitia programu hii ya BBT.

Tangu tumejiunga hapa tumejifunza mambo mengi na kuongeza ujuzi mkubwa kwenye eneo la kilimo biashara, ni ahadi yetu kwamba kupitia mafunzo haya tutasaidia kuchochea ukuaji wa sekta ya kilimo kwa kulima kitaalamu na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao ya kilimo” Alisema Mbaraka.

Naye Naibu Waziri wa Kilimo Mh. Anthony Mavunde amewataka vijana hao kutumia fursa hiyo adhimu waliyoipata kwa kuchochea kuleta mageuzi kwenye sekta ya kilimo na kushawishi vijana wengi zaidi kushiriki kwenye sekta ya kilimo ili kundi hili kubwa la vijana litoe mchango kwenye kukuza sekta ya kilimo nchini na kuahidi kwamba serikali itaendelea kuhakikisha inaboresha mafunzo haya ya vijana ili kuwaandaa vyema vijana katika utelekezaji wa malengo ya Ajenda 10/30.

Akitoa maelezo ya awali Mratibu wa Programu ya BBT chini ya Wizara ya Kilimo Bi. Vumilia Zinkankuba amesema programu hii ya mafunzo inaendelea katika vituo 13 katika maeneo mbalimbali ya Tanzania na kwa sasa ipo hatua za mwisho na mafunzo hayo ya darasani na shambani na baada ya kukamilika kwake vijana watapelekwa mashambani kuanza uzalishaji wa mazao kwa vitendo.

Naibu waziri wa Kilimo Mh. Anthony Mavunde katika picha ya pamoja na vijana waliopo katika mafunzo ya Kilimo chini ya Programu ya Building A Better Tomorrow (BBT) katika kituo cha Mafunzo cha Bihawana-Dodoma alipofanya ziara na kutembelea kituoni hapo kujionea mafunzo yanayoendelea kwa vijana hao.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.