• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vijana watakiwa kutambua, kujua haki zao na kufanya maamuzi sahihi

Imewekwa tarehe: July 28th, 2025

Na; Happiness E. Chindiye

Habari - Dodoma RS

Vijana wameaswa kuondoa usiri na kutafuta maarifa kuhusu masuala mbalimbali yahusuyo stadi za maisha na afya ya uzazi .

Hayo yamebainishwa na Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma Mwl. Vicent Kayombo wakati akimwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma kwenye ufunguzi wa semina ya kuwajengea uwezo Wanafunzi juu ya Stadi za Maisha na Afya ya Uzazi kutoka kwa wataalamu ambao walipelekwa kupata Mafunzi nchini Korea kwa ufadhili shirika la KOAT. Semina hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Jengo la Mkapa Julai 25,2025.

Mwl. Kayombo amesema lengo kuu la semina ni kujadili na shirika KOICA juu ya jambo muhimu sana linalohusiana na kuvunja ukimya au usiri kwenye maisha ya vijana wetu, ujuzi wa maisha, afya ya uzazi na hedhi salama kwa wote.

“Vijana tunapaswa kujitambua, kujua haki zetu, kujua miili yetu, na kujua namna ya kufanya maamuzi sahihi yanayolinda afya zetu. Tusiogope kuuliza maswali. Tusiogope kutafuta msaada kutoka kwa Wazazi, Walimu, au Wataalamu wa Afya.”-Ameeleza Mwl. Kayombo

Hata hivyo amewasihi wasimamizi na watekelezaji wa program hiyo kuwa na utu na uungwana kwa kuzingatia mila na desturi za Kitanzania , kwasababu inaweza kuwa upenyo wa kuziharibu mila zetu nzuri za Kitanzania kwani baadhi ya watu ambao sio waaminufu hutumia mwanya huo kupenyeza mafundisho mabaya kwa vijana ambayo yanawaangamiza wao na Taifa kwa ujumla.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mkazi wa KOICA Nchini Bw. Manshik Shin ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendeleza ushirikiano ,ambao utasaidia hasa Walimu kuongeza ujuzi wa Korea,na kuwa mabalozi wazuri kwa kuwa muda mwingi wanautumia kukaa na wanafunzi Shuleni.

Wafunzi kutoka katika Shule tatu za Mkoa wa Dodoma wamepata semina hiyo, ambapo wanatarajiwa kuwa Mabalozi kwa Wanafunzi wa shule nyingine za Mkoa huu.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • ACTIF 2025 Itoe majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji- Majaliwa

    July 30, 2025
  • Serikali yaongeza mashine mpya tatu za Tiba mionzi

    July 29, 2025
  • Mfumo wa Ufundishaji mubashara mbioni kutumika nchi nzima

    July 28, 2025
  • Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati aikabidhi Taasisi ya Benjamin Mkapa hundi ya shilingi mil. 200

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.