• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Viongozi Serikali za Mitaa waapa, Kunambi awaasa wakatende haki

Imewekwa tarehe: November 28th, 2019

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amewataka viongozi wapya waliochaguliwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa hivi karibuni kuachana na tabia ya kujali maslahi binafsi badala yake waende kutenda haki kwa wananchi waliowachagua na kwa kufanya hivyo kutawasaidia kuaminika kwa wananchi.

Kunambi ameyasema hayo jijini Dodoma katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Mipango jijini hapa, katika tukio la kuwaapisha viongozi wapya wa Serikali za Mitaa ambao walichaguliwa tarehe 24 Novemba, 2019.

Wakati huohuo, kunambi amesema watakuwa na utaratibu wa kutoa tuzo kwa mitaa kumi kila baada ya miezi sita katika Jiji la Dodoma. Alisema kuwa Jiji linahitaji kuwa na mfumo shirikishi kwa wananchi ili kila mwananchi katika Mtaa wake awe sehemu ya kusimamia sheria na taratibu zilizowekwa na Serikali.

Ninyi ni viongozi wapya, muende mkatumikie wananchi kwa haki. “Utatuzi wa migogoro ni jukumu lenu, usimamizi wa shughuli za maendeleo katika ngazi ya mtaa ni jukumu letu. Na hii ni kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara 145, inawapa hayo majukumu. Lakini pia sheria za Serikali za Mitaa, Mamlaka ya Miji, sura 288 inatupa hayo majukumu” alisema Kunambi.

Awali akitoa taarifa fupi ya mwenendo wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Dodoma uliofanyika tarehe 24 Novemba 2019, Msimamizi wa uchaguzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro amesema kuwa mitaa yote katika Jiji la Dodoma iliweza kushiriki katika hatua za awali za uchaguzi. Vyama vilivyoshiriki uchaguzi huo vilikuwa ni Chama cha Mapinduzi (CCM), ACT Wazalendo, CHADEMA, Allience for African Farmers Party (AFP), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Umma (CHAUMA) pamoja na Chama cha Demokrasia Makini.

Katika hatua nyingine Kimaro amesema kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka huu ulisimamiwa na kuendeshwa kwa kufuata sheria, taratibu na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa ngazi ya vijiji, vitongoji na mitaa za mwaka 2019. Miongozo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, TAMISEMI pia ilitumika, aliongeza.

Zoezi la kuwaapisha viongozi wa Serikali za Mitaa lilifanywa na Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Dodoma, Pascal Mayumba. Viapo viwili vilifanyika, kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu


.Viongozi wa Serikali za Mitaa wa Jiji la Dodoma wakila kiapo cha utii leo, tayari kwa kuanza kutumikia vyadhifa zao mpya baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.