• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Viongozi Wilaya wazidi kung'arisha Jiji

Imewekwa tarehe: January 29th, 2022

VIONGOZI wa Wilaya na Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo wameungana na wakazi wa Kata za Kikuyu Kaskazini na Kikuyu Kusini katika muendelezo wa kampeni ya USAFI WA Mazingira na utatuzi wa kero za wananchi kwa mtindo wa Kata kwa Kata.

Viongozi hao wakiongozwa na Mkuu wa wilaya Jabir Shekimweri na kamati yake nzima ya ulinzi na usalama ya wilaya walishirikiana na wakazi wa kata hizo kufyeka vichaka, nyasi na kusafisha mitaro ikiwa ni juhudu za wilaya kuhakikisha Makao Makuu ya Nchi hasa Jiji la Dodoma linakuwa safi muda wote.

Akizungumza na wakazi hao, Mkuu huyo wa Wilaya aliwataka kufanya usafi kuwa ni tabia na ada ya kila siku ikihusisha ndani nan je ya nyumba pamoja na sehemu za kazi kama maeneo ya biashara na maeneo ya wazi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru aliwaeleza wananchi wa Kata hizo kuwa Halmashauri imedhamiria kupendezesha Makao Makuu ya Nchi kwani ndiyom jicho la nchi na kwamba kila mwananchi ana wajibu wa kuhakikisha hachafui mazingira yake wala ya mwenzake.

Mkurgenzi Mafuru alisema Jiji linaandaa utaratibu wa kuhakikisha kuwa, kila mwananchi anakuwa mlinzi wa mwenzake katika kusafisha na kutunza mazingira ambapo mtu akayemripoti mchafuzi wa mazingira atalipwa nusu ya fedha za faini atakazotozwa aliyechafua mazingira.

Alisema utaratibu huo utatekelezwa katika Jiji hilo hivyo kila mkazi awe makini na kuacha kutupa taka hovyo zikiwemo vocha za muda wa maongezi wa simu kwani atakayekamatwa atatozwa faini inayoanzia shilingi 50,000 hadi 300,000 kwa mujibu wa sheria za mazingira kulingana na aina ya uchafuzi ulioufanya.

Naye mkuu wa idara ya Mazingira wa Jiji hilo Dickson Kimaro alisema kampeni hiyo ni endelevu na kwamba kila Jumamosi ya kila wiki viongozi hao wakuu ngazi ya wilaya watajumuika na wananchi wa kata mojawapo itakayotangzwa baadaye na kufanya nao usafi kwa lengo la kuhamasisha na kuonesha mfano huku pia wakisikiliza kero za wakazi husika na kuzitolea majibu.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru akizungumza na Wakazi wa Kata ya Kikuyu Kaskazini wakati wa kampeni ya usafi wa mazingira katika iliyofanyika katika kata hiyo Januari 29, 2022 ambapo zoezi hilo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ngazi ya wilaya akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri                                                                              Mkuu wa Wilaya Jabiri Shekimweri akishiriki zoezi hilo la usafi wa mazingira                                                              Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kikuyu Kaskazini wakishiriki usafi huo, nyuma ni magari yanayotumika kubebea taka

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru akizungumza na Wakazi wa Kata ya Kikuyu Kusini wakati wa kampeni ya usafi wa mazingira katika iliyofanyika katika kata hiyo Januari 29, 2022 ambapo zoezi hilo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ngazi ya wilaya akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.