• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Vitambulisho vya Taifa ni usalama wa nchi' - Lugola

Imewekwa tarehe: November 14th, 2019

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema, wakimbizi na raia kutoka nje ya nchi wanapewa vitambulisho vya Taifa hivyo unahitajika umakini mkubwa kwa ajili ya usalama wa nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola amesema leo kuwa, yeyote anayefanya kazi katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) anapaswa kuwa makini na ndiyo maana mamlaka hiyo ipo kwenye wizara hiyo kwa kuwa inafanya kazi za kiusalama.

“Uchakati wa taarifa za mtu binafsi ni suala la kiusalama, tunakwenda nalo kiumakini kuhakikisha kwamba mtu ambaye anatakiwa apewe hiki kitambulisho, kwa sababu tunawapa makundi matatu, tunampa mtu ambaye ni raia wa Tanzania, lakini tunampa mkimbizi, lakini pia tunampa mtu ambaye ni kutoka nje ya nchi, tunawapa hivi vitambulisho vitavyoitwa ni vya Taifa” amesema Lugola wakati akizungumza kwenye kipindi cha Asubuhi leo kinachorushwa na kituo cha redio cha TBC Taifa cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).

Waziri Lugolo amewaomba Watanzania waelewe kwamba, kuchelewa kupata namba za vitambulisho vya Taifa au vitambulisho vyenyewe si uzembe kwa kuwa kazi hiyo ni nyeti na inahitaji umakini.

“Na ndio maana kuna maneno mawili utambuzi yaani mtu atambuliwe kwanza halafu pia tumsajili halafu ndio tuweze kumhakiki na baadaye ndio tuweze kumpa sasa namba ya utambulisho kwamba huyu tumeridhika nae” amesema Waziri Lugola.

Amesema walipanga hadi Desemba mwaka huu NIDA iwe imesajili watu milioni 24.5 na hadi Novemba 13 takribani Watanzania milioni 20.5 walikuwa wamesajiliwa kwenye mfumo na kati ya hao tayari namba milioni 15.5 zimezalishwa.

“Tunakimbizana kuhakikisha kwamba lengo hilo la watu milioni 24.5, namba zao za utambulisho zitakuwa zimekwishazalishwa ifikapo tarehe 31 Desemba kwa hiyo namba zitakuwa zinatumika huku tukiendelea kuhakikisha sasa tunakamilisha kitambulisho chenyewe kiweze kufika kwa kila Mtanzania ambaye amebainishwa na tayari amesajiliwa na taarifa zake binafsi zipo kwenye kanzidata ya Taifa ambayo inamuhusu mwananchi mwenyewe”amesema Lugola.

Chanzo: habarileo.co.tz


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.