• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vituo vya kutolea huduma ya Afya ya Msingi kufungwa mfumo wa GoTHoMIS

Imewekwa tarehe: September 13th, 2024

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI anayeshughulikia Afya Dkt. Grace Magembe amesema Serikali inaendelea kuhakikisha vituo vya kutolea huduma za Afya ya msingi nchini vinaendelea kufungwa mfumo wa kielektroniki wa kudhibiti na kufuatilia taarifa za mteja (GoTHoMIS).

Dkt. Grace ameyasema hayo  wakati wa hafla makabidhiano ya vifaa vya TEHAMA 8vya (GoTHoMIS) katika vituo vya kutolea huduma za Afya katika Mkoa wa Dodoma

Amesema kwa mkoa wa Dodoma jumla ya Vituo 235 vya kutolea huduma za afya vinatarajiwa kunufaika na vifaa hivyo vilivyotolewa na Serikali ya Korea kupitia Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Korea (KOICA) linalotekeleza mradi huo Mkoani Dodoma

“mfumo unatusaidia kuondoa ukilitimba pamoja kupata takwimu sahihi na kuongeza ufanisi wa kazi zetu hasa katika sekta ya Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI inahakikisha vituo vyetu vyote kuanzia hospital za wilaya vituo vya Afya na zahanati sasa hivi wanatoa huduma kwa kutumia mifumo" amesema Dkt.Grace

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewaelekeza waganga wakuu wa Halmashauri za mkoa wa Dodoma kuhakikisha wanatunza vifaa vinavyowezesha kuongeza ukusanyaji wa mapato, kufuatilia na kudhibiti taarifa za mgonjwa.

"Vituo 135 vitapata vifaa hivi vikiambatana na usimikaji pamoja na mafunzo kwa watumiaji, vituo 82 vitapewa vifaa pekee hivyo, Wakurugenzi hakikisheni vifaa hivi vinasimikwa na kuanza kutumika ili tusipoteze dhamira ya waliotuwezesha” anaeleza

Vilevile, Mkurugenzi Mkazi wa KOICA Bw. Man Sik Shin amesema Serikali ya Korea Kusini inashirikiana na Tanzania kwenye utekelezaji wa miradi ya sekta za elimu na afya ambapo Mradi huo umegharimu zaidi ya Bilioni 16.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.