• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Vyeti vya kuzaliwa sasa kwa Mtendaji Kata

Imewekwa tarehe: March 14th, 2019

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amesema Halmashauri hiyo itahakikisha watoto wote wenye umri chini ya miaka mitano wanasajiliwa kwa ajili ya kupatiwa vyeti vya kuzaliwa bure kutokana na umuhimu wa nyaraka hiyo ambayo kuanzia tarehe 15 Machi, 2019 itaanza kutolewa katika Ofisi zote za Kata 41 za Jiji hilo na katika baadhi ya vituo vya kutolea huduma za Afya.

Kunambi ameyasema hayo mapema leo Machi 11, 2019, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kuhusu usajili na utoaji wa vyeti hivyo kwa Maofisa Watendaji wa Kata, Maofisa Maendeleo ya Jamii, na Maofisa Afya watakaoshiriki katika utoaji wa vyaraka hiyo kwenye Kata husika.

Akizungumza na wataalam hao katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Umonga, Kunambi aliwataka wawajibike kikamilifu katika kufanikisha huduma hiyo kwa Wananchi ili kila mtoto mwenye haki ya kupata cheti hicho katika Jiji la Dodoma apatiwe.

“Naishukuru sana Serikali Kuu na RITA (Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini) kwa kusogeza huduma hii huku chini kwa Wananchi, sisi kama Halmashauri tutaifanya kazi hii kwa ufanisi kwani jukumu letu kubwa ni kutoa huduma kwa Wananchi” alisema Kunambi.

Kwa upande wake Mratibu wa zoezi hilo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma Aneth Mwambya alisema mafunzo hayo ni siku tatu na kuanzia Machi 11, 2019 na kwamba  kuanzia Machi 15, 2019 zoezi la usajili wa watoto na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa  litaanza katika ngazi ya Kata.

“Tunatoa wito kwa kila mzazi mwenye mtoto mwenye umri wa chini ya miaka mitano wafike katika Ofisi za Kata na katika baadhi ya vituo vya kutolewa huduma za Afya zinazotoa huduma ya mama na mtoto ili wasajiliwe kwa ajili ya kupatiwa vyeti hivi vya kuzaliwa” alisema mratibu huyo.

Alisema zoezi hilo litaanza kwa kampeni ya siku 12 kuanzia Machi 15, 2019, na baada ya muda huo huduma hiyo itaendelea kutolewa kama kawaida, na kwamba kila mzazi atatakiwa kuwasilisha nyaraka za awali zikiwemo Tangazo la kuzaliwa kwa mtoto au kadi ya kliniki kabla ya mtoto husika kusajiliwa na kupatiwa cheti.

  

  

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.