• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Waajiri sekta binafsi toeni mikataba kwa wafanyakazi wenu- Rc Senyamule

Imewekwa tarehe: May 1st, 2024

WAAJIRI sekta binafsi Mkoa wa Dodoma, wametakiwa kufuata Sheria na taratibu za uajiri ikiwa ni pamoja na kulinda haki za wafanyakazi wao kwa kuhakikisha wanatoa Mikataba ya kazi kwa wafanyakazi wao ili waweze kupata stahiki zao muhimu pindi muda wa ajira unapokwisha.

Hayo yamebainishwa leo Mei Mosi, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule kwenye hotuba yake kwa wafanyakazi wa Taasisi za umma na binafsi waliojitokeza kushiriki Maadhimisho ya Sherehe za wafanyakazi (Mei Mosi) Kimkoa kwenye uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.

“Serikali ina thamini mchango wa wafanyakazi ndio maana tunaadhimisha siku hii. Nitoe wito kwa waajiri sekta binafsi kuhakikisha wanatoa mikataba ya ajira kwa wafanyakazi wao na pia kuhakikisha wanapeleka mafao yao kwenye mifuko ya hifadhi za jamii.

“Waajiri ambao watakiuka hili, nitoe shime kwa mifuko hiyo kufuata taratibu za kisheria dhidi ya waajiri wasiowasilisha mafao hayo. Pia , niwasisitize Watumishi wachache wasiotimiza wajibu wao, timizeni wajibu kwa Sheria na taratibu za utumishi “ Amesema Mhe. Senyamule.

Kadhalika, Mratibu wa vyama vya wafanyakazi Mkoa wa Dodoma Bw. Sylvester Mshanga akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya mgeni rasmi, amemshukuru Mhe. Rais kwa kujali vilio vya wafanyakazi kwani katika kipindi cha miaka mitatu amepandisha madaraja kwa Watumishi, ameondoa tozo ya 6% kwa mikopo ya Elimu ya juu, kulipa Watumishi walioondolewa kazini kutokana na changamoto ya vyeti n.k.

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi hufanyika kila mwaka nchini na mwaka huu, Kitaifa yamefanyika kwenye Mkoa wa Arusha huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa ndiye mgeni rasmi. Maadhimisho hayo yameongozwa na kauli mbiu isemayo “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha”



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.