• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wachezaji Mpira wa Mikono watakiwa kujituma

Imewekwa tarehe: October 18th, 2022

Na. Josephuna Kayugwa, DODOMA

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru  amewataka wachezaji wa timu ya mpira wa Mikono ya wafanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kujituma katika mashindano ya SHIMISEMITA yanayofanyika mkoani Morogoro kwasababu michezo ni afya na inatengeneza ushirikiano.

Ameyasema hayo alipokutana na timu kwa lengo la kuwatia moyo wakati wachezaji walipokuwa katika maandalizi ya kwenda Morogoro kushiriki mashindano hayo kama wafanyakazi.

“Sisi kama Jiji la Dodoma tuna furaha sana timu yetu inakwenda kushiriki mashindano na tunaamini muda huu watafanya vizuri kwenye michezo yote mitatu na watarudi na ushindi hapa Dodoma.

“Pia nimewasisitiza pamoja na kuwa wanamichezo lakini ni watumishi wacheze kwa tahadhari ili tusipate majeruhi, wawe waangalifu wasipate ajali kwenye mchezo na ninawatakia  kila la kheri wachezaji wote,” alisema Mafuru.

Kwa upande wake Nahodha wa timu, Theopista Mnyang’ali alisema wamejiandaa vizuri katika mashindano ya SHIMISEMITA  wamefanya mazoezi ya kutosha kama wachezaji wana imani watafanya vizuri na kurudi na ushindi.

“Tumejiandaa kikamilifu na hivi mara yetu ya kwanza kushiriki mashindano ya SHIMISEMITA naimani tutakwenda kufanya vizuri huko Morogoro na kurudi na makombe yote matatu,” alisema Mnyang’ali.

Naye Emmaculata Chale mchezaji wa timu ya mpira wa mikono, alimshukuru Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa kuwaunga mkono na wameahidi kurudi na ushindi kwasababu wanakwenda kushiriki michezo mitatu.

“Tunakwenda kushiriki michezo ya SHIMISEMITA 2022, mkoani Morogoro kwahiyo tutarudi na makombe mengi tu na hatutawaangusha lakini pia shukrani kwake Mkurugenzi na tutamletea ushindi,” alisema Chale.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.