• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wadau wa maendeleo elekezeni rasilimali kusaidia Wanawake wanaoishi vijijini

Imewekwa tarehe: October 15th, 2022

WADAU wa maendeleo hasa wanaoshughulikia masuala ya wanawake wameaswa kuelekeza rasilimali na afua zaidi katika kuwasaidia wanawake wanaoishi vijijini ambao ndio wazalishaji wakubwa wa malighafi za viwanda na mazao ya chakula katika kaya na ndio wachangiaji wakuu wa pato la Taifa.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameyasema hayo alipozungumza na wananchi katika kata ya Mang'ula, Halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro aliposhiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mwanamke anayeishi kijijini, Oktoba 15, 2022.

Waziri Dkt. Gwajima amesema kuwa Wanawake hasa wa vijijini ndio wanapata changamoto nyingi zaidi kutokana na mgawanyo wa majukumu katika familia, uwezo mdogo wa kipato, elimu na ujuzi duni, mila na desturi kandamizi, ukubwa wa wategemezi katika kaya na udhaifu wa miundombinu iliyopo vijijini, hivyo ni muhimu sana kuimarisha ustawi na maendeleo yao ili kupunguza changamoto zinazowakabili.

"Serikali imeamua kuimarisha ustawi na maendeleo ya mwanamke anayeishi kijijini ili kuleta mabadiliko endelevu yatakayonufaisha jamii kwa ujumla na kumpunguzia huyu mama anayeishi kijijini athari mbalimbali zinazotokana na mabadiliko ya tabianchi ikiwa ni pamoja na njaa, ukame na mafuriko yanayoweza kuleta madhara ya kuharibu nyumba zilizo dhaifu". Amesema Dkt. Gwajima.

Aidha, ameongeza kwamba maadhimisho hayo yanatumika kuhamasisha wadau kuelekeza rasilimali kwa wanawake waishio vijijini ambapo matokeo yake yatawezesha kuainisha mbinu za kuamsha ari ya wadau kuboresha hali na mazingira ya vijijini kwa kutoa kipaumbele katika kushughulikia changamoto, mahitaji yao na kuunga mkono jitihada za wanawake waishio vijijini na kuandaa mifumo ya kukusanya takwimu za mchango wa wanawake waishio vijijini katika kuinua uchumi wa Taifa.

Vile vile, Waziri Dkt Gwajima amesema majukumu hayo yatajenga uwezo wa wanawake waishio vijijini kuthubutu kushiriki katika siasa, uongozi na nafasi za kutoa maamuzi ili waweke msukumo katika kuelekeza rasilimali, nyenzo za uzalishaji mali na huduma za kifedha kwa vikundi vya wanawake na SACCOS zilizopo vijijini


Matangazo

  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA MAKARANI WAOGOZAJI WAPIGA KURA October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.