• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wafanyabiashara Soko la Majengo wapewa tamko la Baraza la Mazingira

Imewekwa tarehe: September 25th, 2019

Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kati Bwana Carlos Mbuta amekutana na viongozi pamoja na wafanya Biashara wa Soko la Majengo Jijini Dodoma ili kuwafikishia tamko lililotolewa na Baraza hilo kuhusu uwekwaji wa anuani kwenye vifungashio.

Akizungumza na wafanya biashara hao Mbuta amesema Baraza hilo limetoa siku 15 kwa wafanya biashara kuhakikisha wanamaliza kutumia vifungashio visivyokuwa na anuani ya muuzaji, na baada ya hapo faini itatozwa kwa mfanyabiashara yeyote atakaekiuka agizo hilo.

Nae mwenyekiti wa Soko hilo Bw. Hamis Bomu amesema agizo sio baya kwani anaamini Serikali kupitia Baraza hilo wana nia nzuri kwa maendeleo ya Jiji na Taifa isipokua ameomba waongezewe muda ili waweze kumaliza vifungashio ambavyo tayari walishavinunua.

Saidi Khamis ni mfanyabishara katika soko hilo yeye kwa upande wake amesema hatua hiyo yakuwataka tena watumie vifungashio vyenye anuani ya muuzaji inawachanganya wafanyabishara kwani walishatekeleza agizo la kuacha kutumia vifungashio vya plastiki na kununua kwa wingi vifungashio vilivyoelekezwa hapo awali.

Akihitimisha baada ya kusikiliza kero na mawazo kutoka kwa uongozi na wafanyabiashara sokoni hapo Mbuta amewataka wafanyabiashara hao waanze utekelezaji wa agizo hilo nayeye atafikisha malalamiko yao sehemu husika ili yafanyiwe kazi.

Mmoja wa wafanyabiashara wa Soko kuu la Majengo akichangia wakati wa mkutano na Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kati Bwana Carlos Mbuta na viongozi wa Soko Kuu la Majengo.


Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kati Bwana Carlos Mbuta akiongea na viongozi na wafanyabiashara wa Soko la Majengo kuwaeleza kuhusu utekelezaji wa kuweka anuani kwenye vifungashio.


Saidi Khamis ni mfanyabishara wa Soko Kuu la Majengo akichangia mada wakati wa mkutano na Meneja wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kati, mkutano uliofanyika sokoni Majengo.

 

Mwenyekiti wa Soko la Majengo Hamis Bomu ameridhia agizo la Serikali kupitia Baraza hilo lakini wameliomba baraza kuwapa muda zaidi kabla ya utekelezaji wa adhabu kwa watakaokiuka kuanza kutumika.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.