• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wafanyabiashara Sokoni Majengo waendeleza usafi wa kila J'mosi

Imewekwa tarehe: September 5th, 2020

Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Majengo hapa jijini Dodoma wamekumbushwa kulifanya zoezi la usafi wa mazingira kuwa endelevu ili kuendelea kuboresha mazingira na afya zao na walaji wa bidhaa zao.

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu wa Jiji la Dodoma Dickson Kimaro baada ya shughuli za usafi kufanyika sokoni hapo kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa soko la Majengo walipofanya zoezi la usafi wa mazingira katika maeneo yanayozunguka soko hilo leo.

Kimaro aliwakumbusha kuwa zoezi la usafi wa mazingira linatakiwa kuwa tabia kwa wakazi wa Jiji la Dodoma na ndio maana Mkuu wa Mkoa alitoa agizo kuwa zoezi hili litakuwa endelevu kwa kila mwananchi wa Jiji hili katika maeneo ya makazi na shughuli zao za kila siku.

Katika tangazo lake kwa wananchi wa Jiji la Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji hilo amekuwa akikumbusha kwa taasisi, wafanyabiashara na wananchi wote kushiriki kutekeleza agizo la kufanya usafi wa kila Jumamosi umbali wa mita tano kuzunguka maeneo ya makazi na biashara ikiwa ni pamoja na kuwa na chombo cha kuhifadhi taka na kutojishughulisha na uchafuzi wa mazingira kwa njia ya sauti (kupiga kelele), utupaji wa takataka hovyo katika maeneo ya wazi, barabara, mitaro, mifereji na hata kufanya matengenezo ya vyombo vya moto kwenye maeneo yasiyo rasmi.

Naye Afisa Afya Usafishaji wa Jiji la Dodoma, John Lugengo amesema, mwitikio wa wafanyabiashara umekuwa mzuri, na akasisitiza kuwa wataendelea kushirikiana na wafanyabiashara wa masoko mengine pia ili kuweka mazingira rafiki kwa afya za wafanyabiashara wenyewe na walaji wa bidhaa za sokoni katika Jiji la Dodoma.

Tazama picha mbalimbali wafanyabiashara wa Soko la Majengo wakishiriki usafi wa maeneno yao ya biashara.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.