• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wafanyabiashara zingatieni masharti ya leseni zenu – Dkt. Mahenge

Imewekwa tarehe: April 24th, 2021

WAFANYABIASHARA jijini Dodoma wametakiwa kufanya biashara zao kwa kuzingatia masharti ya leseni zao ili kuepuka migongano isiyo ya lazima na mamlaka na kulinda hadhi ya Makao Makuu ya Nchi.

Kauli hiyo Imetolewa leo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge katika kikao chake na wafanyabiashara wamiliki wa baa na nyumba za kulala wageni katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Dkt. Mahenge amesema kuwa wafanyabiashara wanatakiwa kufanya shughuli zao kwa kuzingatia masharti yaliyo katika leseni zao za biashara. “Kama mfanyabiashara kapewa leseni ya ‘grocery’ afanye kazi ya ‘grocery’ na siyo kazi ya baa. Wafanya biashara hakikisheni mnazingatia masharti ya leseni mlizonazo” amesema Dkt. Mahenge.

Mkuu wa mkoa aliongelea suala la upigaji muziki kinyume na sheria na kusababisha kero kwa watu wengine. “Tumekuwa tukipokea malalamiko ya ukiukaji wa sheria za leseni kwa kupiga muziki kwa sauti ya juu sana na kusababisha kero kwa watu wengine. Kutokana na kelele za muziki huo, watu wanashindwa kulala na kupumzika, watu wanashindwa kufanya kazi zao kwa kiwango kinachokubalika kutokana na kutokupumzika na kusababisha ufanisi kupungua” alisema Dkt. Mahenge.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alisema kuwa halmashauri hiyo iliandaa mpango kabambe wa miaka 20 ukionesha uendelezaji ardhi wa jiji hilo. Mpango huo umeainisha maeneo ya viwanda, makazi, taasisi, elimu na makazi na biashara kwa lengo la kuepuka muingiliano wa matumizi ya ardhi. “Tumetenga maeneo hayo kwa lengo la kujenga mji safi na salama, unaofikika na shindani. Ninyi mpo katika eneo la huduma ya makazi na biashara. Tatizo mmeanza kukiuka matakwa ya leseni zenu. Tulikupa leseni ya ‘grocery’ sasa unaendesha baa na kupiga muziki kwa sauti ya juu” alisema Mkurugenzi Mafuru.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dkt. Binilith Mahenge (wa pili kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru (aliyesimama kulia) akitoa maelezo kuhusu Jiji lilivyojipanga kuhakikisha wafanyabiashara wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa mpango wa matumizi bora ya ardhi Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru akifafanua jambo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na wafanyabiashara katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.