• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wagonjwa wa sikoseli wapewa ahueni ya matibabu nchini

Imewekwa tarehe: October 1st, 2020

Wagonjwa wa Sikoseli nchini wamepewa unafuu wa gharama na upatikanaji wa dawa baada ya Serikali kupitia Wizara ya Afya kuweka mikakati madhubuti inayolenga kuboresha huduma kwa wagonjwa hao.

Hayo yamesemwa leo mbele ya Waandishi wa Habari jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi wa huduma za Tiba wa Wizara Afya Dkt. James Kiologwe aliyemwakilisha Mganga Mkuu wa Serikali katika kilele cha maadhimisho ya mwezi wa Sikoseli duniani.

Dkt. Kiologwe amesema miongoni mwa hatua zilizochukuliwa na Serikali ni pamoja na kujumuisha Sikoseli katika Mpango Mkakati wa Taifa wa pili wa magonjwa yasiyoambukiza wa mwaka 2016-2020 na kuhakikisha kliniki za wagonjwa wa Sikoseli zinaanzishwa katika mikoa yote nchini ikiwa ni pamoja na upatikanaji rahisi wa dawa ya Hydroxyurea ambayo itaingizwa katika muongozo wa matibabu na kuwekwa katika orodha ya dawa zinazolipiwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).

Aidha, Dkt. Kiologwe amesema Serikali itahakikisha kwamba vipimo vya papo kwa papo (Sickle Scanner) na dawa ya HU vinaingia kwenye Kinadi cha bei cha Bohari ya Dawa (MSD Price Catalogue).

Pamoja na hayo Dkt. Kiologwe amesema Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali itaendelea kuielimisha jamii ili kuwa na uelewa wa pamoja juu ya ugonjwa huu ambapo inatarajia kwa kiasi kikubwa itapunguza na hatimaye kuondoa unyanyapaa kwa wagonjwa wenye Sikoseli.

Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya duniani (WHO) inaonesha kila siku zaidi ya Watoto 1,000 huzaliwa na Sikoseli huku Tanzania takwimu zinaonesha zaidi ya Watoto 11,000 huzaliwa na ugonjwa wa Sikoseli kila mwaka, sawa na kusema Watoto 8 kati ya 1,000 uzaliwa na ugonjwa huu.

Maadhimisho ya mwezi wa Sikoseli hufanyika mwezi Septemba kila mwaka duniani kote na mwaka huu yalikua na kaulimbiu inayosema “Ijue Sikoseli, epuka unyanyapaa”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.