• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakazi wa Jiji waendelea kutahadharishwa UVIKO-19

Imewekwa tarehe: July 20th, 2021

Na Noelina Kimolo.

“WAGONJWA wa COVID-19 wapo hivyo wakazi wa Dodoma wasichukulie mzaha suala hili wajitahidi kuchukua tahadhari za kujikinga kama vile kunawa mikono kwa maji tiririka, kutumia vitakasa mikono pamoja na kuepuka misongamano isiyo ya lazima ili kuepuka maambukizi”.

Kauli hii imetolewa na mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Gasper Kisenga wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Tuongee Asubuhi kinachoruswa na kituo cha Star Televisheni cha jijini Mwanza.

 Dkt. Kisenga alisema kuwa, katika kupiga vita ugonjwa wa COVID-19 wameweza kuzungumza na wadau mbalimbali kama vile wadau wa elimu, jeshi la porisi, wenyeviti wa masoko pamoja na viongozi wote waliopo kwenye vituo vya mabasi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.  

“Wagonjwa wapo na ndio maana tunatoa elimu kwa wananchi na elimu hiyo iwafikie ili waweze kubadilika, na kufuata taratibu zote za kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 huku wakiendelea na majukumu ya kila siku” alisema Dkt. Kisenga.

Alisema kuwa walikuwa na wadau wa elimu ambao anaamini hao watawasaidia kutoa elimu juu ya ugonjwa huo kwa wanafunzi wa shule za msingi sekondari pamoja na vyuo, huku wadau kutoka jeshi la polisi wakisaidia katika kupunguza msongamano ndani ya daladala, pia usafirishaji na wenyeviti wa masoko mbalimbali na stendi lengo likiwa kila mmoja atoe elimu kwenye eneo lake.

Dkt. Kisenga alisema kuwa, jukumu la kupambana na ugonjwa huo halipo kwa mtu binafsi bali ni kwa kila mtu mwenye ufahamu aweze kupambana nalo kuanzia nyumbani, barabarani, maeneo ya kazini na sehemu zote lazima tuchukue tahadhari za kujikinga na ugonjwa wa COVID-19.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.