• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakazi wa Jiji watakiwa kutumia fursa ya taka, wanafunzi waelimishwa

Imewekwa tarehe: September 3rd, 2021

Na Getruda Shomi, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetoa wito kwa wakazi wa Jiji hilo kutumia fursa zinazotokana na uwepo wa taka ngumu ikiwemo kujiajiri kutokana na uuzaji na ununuaji wa taka hizo zinazoweza kurejerezwa kwenye viwanda na kujipatia kipato.   

Wito huo umetolewa na Afisa Mazingira katika Halmashauri hiyo Ally Mfinanga (mwenye mic pichani juu) alipotembelea shule mbalimbali za msingi na sekondari ili kufikisha elimu ya utengaji wa taka ili kuweza kuzitumia kwa matumizi mengine kama kutengeneza gesi, kuzirejeleza viwandani na  kutengeneza mbolea.

Alisema kuwa taka zinaweza kutumika katika sehemu tofauti ambazo zinaweza kuleta manufaa katika jamii.

“Taka ni fursa kubwa ya kiuchumi, zinatengenezea watu kipato na sisi kama Halmashauri tunanunua taka zinazorejelezwa lakini pia tumesajili makampuni mengi yanayokusanya taka na yanazinunua, hivyo watu wanapata kipato” alisema Mfinanga.

Akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kiwanja cha Ndege, Mfinanga aliwaambia wanafunzi hao kuwa, taka zina manufaa mengi katika jamii hivyo wasichome ila wazitenganishe katika vyombo tofauti zile zinazooza na zisizooza ili waziuze kwenye makampuni yaliyojikita katika ununuzi wa taka hizo.

“Mnapokuwa nyumbani na maeneo mengine mzitenganishe taka ili tuweze kuzirejeleza viwandani pamoja na matumizi mengine kama kutengenezea gesi ambayo itatumika kama nishati, waelezeni na kuwaelimisha wazazi na walezi namna ya kutenganisha taka kama ambavyo tumefundishana hapa leo” alisema Mfinanga wakati alipotoa elimu ya kutenganisha taka na fursa zake kwa wanafunzi wa shule ya Msingi Mtemi Mazengo.

Kampeni hiyo iliyodumu kwa siku tatu mfululizo iliambatana na ugawaji wa vifaa vya kutenganishia taka yaani ‘dust bin’ katika sehemu zote ambazo kampeni hiyo ilifanyika ikiwemo kwenye masoko, shule, na maeneo mengine yenye watu wengi.

Maafisa wa Jiji la Dodoma wakiwa mbele vyombo vya kuhifadhia taka kwa kuzitenganisha.

 

Afisa Mazingira katika Halmashauri hiyo Ally Mfinanga (mwenye koti) akitoa elimu ya utengaji wa taka mbele ya wafanyabiashara (hawapo pichani) wa Soko Kuu la Majengo Jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.