• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakulima Milioni 1 kunufaika na programu ya mkopo wa pembejeo na soko la mazao

Imewekwa tarehe: May 20th, 2022

WAKULIMA zaidi ya milioni moja kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa pembejeo sambamba na upatikanaji wa masoko ya mazao yao kupitia programu ya AFRICA-CONNECT ambayo inaratiiviiwa kwa pamoja na Kampuni ya Mbolea ya YARA, Benki ya EQUIT, Wakala wa Mbegu (ASA), Kampuni ya Viuatilifu CORTEVA na Kampuni ya MURZAH WILMER RICE MILLERS.

Hayo yamesemwa jana Mei 20, 2022 Jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa program ya AFRICA-CONNECT ambapo wakulima watanufaika na mkopo wa mbegu bora, mbolea na viuatilifu pamoja na kupata huduma ya ugani na mwisho wa siku kupata soko la mazao yao. Program hii itaanza kwa wakulima wa mpunga 100,000 kwa mwaka huu ambapo mpunga wao wote utanunuliwa na Kampuni ya Murzah Wilmar.

Akizungumza katika hafla hiyo, Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde amewapongeza kampuni ya YARA na wadau wote washirika kwa kuja na mpango wa kusaidia kukuza sekta ya kilimo nchini yenye ajenda mahsusi ya AJENDA 10/30 yenye azma ya kuikuza sekta ya kilimo kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2030 na kuahidi kwa niaba ya serikali kusaidia utekelezaji wa program hii yenye lengo la kumpunguzia mzigo mkulima katika upatikanaji wa pembejeo kwa wakati na kwa uhakika.

“Nawapongeza sana YARA, Equity Bank, Corteva, ASA na Kampuni ya Murzah Wilmar kwa kuja na mpango mzuri wa kumsaidia mkulima wa mpunga kuongeza uzalishaji na kumpunguzia mzigo wa pembejeo.

Hatua hii itasaidia kutoa mchango mkubwa katika kuikuza sekta ya kilimo nchini, wote ni mashahidi na mmeona dhamira njema ya Rais wetu mpendwa Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kuiendeleza na kuikuza sekta ya kilimo ambapo bajeti ya wizara ya kilimo imepanda kutoka shilingi bilioni 294 mpaka shilingi bilioni 751.

Serikali imejipanga kuhakikisha mkulima ananufaika na kamwe haitashirikiana na mdau au taasisi yeyote ambayo itaonesha dalili za kudhulumu au kuwanyonya wakulima.

Kabla ya kuja kushirikiana nanyi kwenye uzinduzi wa program hii nilitumia muda wangu kujiridhisha kma suala hili lina maslahi kwa wakulima” alisema Mavunde.

Aidha, Mhe. Mavunde alishauri na kuzitaka kampuni zote zinazoshirikiana kwenye program hiyo ambayo inalenga kuwazewezesha wakulima wa mpunga kuanza uzalishaji hadi kutafuta masoko, kuongeza wigo na kuwafikia wakulima wa mazao mengine kama mahindi ili kukuza sekta ya kilimo na kuinua uchumi wa wakulima.

Vilevile, Mhe. Mavunde alibainisha kuwa Serikali imeweka mkazo mkubwa kwenye utafiti na uzalishaji wa mbegu bora ili nchi ijitosheleze kwa mbegu na ziada iuzwe nje ya nchi.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.