• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakurugenzi Halmashauri kupimwa kwa ukusanyaji mapato

Imewekwa tarehe: September 24th, 2021

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amesema Wakurugenzi wa Halmashauri nchini watapimwa kwa kigezo cha ukusanyaji wa mapato ya ndani katika Halmashauri zao na kutenga fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo inayotatua kero za wananchi.

Akifungua Mafunzo ya Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa jijini Dodoma Waziri Ummy amesema mkakati uliopo ni kuhakikisha Halmashauri zinajitegemea kibajeti na hili litawezekana tu kwa ukukusanyaji wa mapato ya ndani hivyo amewaagiza kukusanya kikamilifu mapato ya ndani katika Halmashauri zao ili kufikia azma hiyo.

Akifafanua zaidi Waziri Ummy amesema katika bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ilijiwekea lengo la kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 863.8 hivyo kila mwezi zinatakiwa kukusanywa shilingi Bilioni 71 na kuanzia Julai hadi Septemba, 2021 zimekusanywa shilingi Bilioni 118 badala  shilingi Bilioni 142 hivyo bado ukusanyaji wa mapato upo chini.

Waziri Ummy amesema Mamlaka za Serikali za Mitaa mpaka sasa zilitakiwa ziwe zimekusanya  mapato ya ndani kwa asilimia 16 lakini kuanzia Julai hadi Septemba, 2021 makusanyo ni asilimia 14, hivyo amewaagiza kusimamia ukusanyaji wa mapato ili kufikia lengo lililowekwa na Serikali.

Amewataka Wakurugenzi hao kubuni vyanzo vipya vya mapato ambavyo havileti kero wala kudhalilisha wananchi lakini wakihakikisha wanabuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia kikamilifu na kuhakikisha Serikali inafikia malengo yanayokusudiwa.

Aidha, amewata kuhakikisha mapato yanayokusanywa yanaingizwa benki kwa wakati ndani ya masaa 24 na kutumia mfumo wa Kielektroniki wa kukusanyia mapato (LGRCIS) katika suala zima la ukusanyaji wa mapato.

Waziri Ummy amewataka Wakurugenzi hao kuhakikisha kuwa wanatenga asilimia 40 ya mapato ya ndani kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa Halmashauri ambazo zinapata mapato chini ya Bilioni tano na wale wanaokusanya zaidi ya Bilioni tano wanatakiwa kutenga asilimia 60. 

"Sitegemei kuona fedha hizi zinatumika kwa ajili ya matumizi ya ofisi, nategemea fedha hizi zijenge zahanati, madarasa, mabweni, maabara, barabara, masoko, stendi na si kugharamia posho za vikao" amesisitiza Waziri Ummy.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.