• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakurugenzi watakiwa kutenga fedha za mapato ya ndani kuendeleza miundombinu ya elimu- Katimba

Imewekwa tarehe: July 30th, 2024

Na Angela Msimbira, NZEGA

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Zainab Katimba amewaelekeza wakurugenzi wa halmashauri nchini kuzingatia utengaji wa bejeti kupitia mapato ya ndani ili kuendeleza miundombinu ya sekta ya elimu.

Mhe.Katimba ametoa melekezo hayo alopokuwa akihitimisha ziara yake ya kikazi katika Mkoa wa Tabora kwenye eneo la ekari 23 litakalotumika kujenga shule ya amali katika Halmashauri ya Mji Nzega.

Amesema mamlaka za serikali za mitaa zina wajibu wa kuhakikisha zinaendeleza miundombinu ya elimu na kutoacha jukumu hilo kwa serikali kuu pekee.

“Pamoja na jitihada kubwa zinazofanywa na Mheshimiwa Rais Samia kuleta fedha nyingi za kutekeleza miradi katika sekta ya elimu ili kuhakikisha wanafunzi wetu wanapata elimu iliyobora, sasa mamlaka za seriali za mitaa zisiache jukumu la kuendeleza miundombinu iliyofanywa na Serikali kuu pekee bali jukumu la msingi ni la mamlaka za serikali za mitaa.”

Akizungumzia ziara hiyo, Mhe.Katimba amesema ametembelea maeneo tofauti tofauti na kukagua majengo katika shule mbalimbali ikiwemo shule ya sekondari ya sayansi ya wasichana ambayo Rais Samia Suluhu Hassan amepeleka Sh bilioni 4.1 na tayari imeshaanza kuchukua wanafunzi.

“Katika ukaguzi wa miradi hii katika sekta ya elimu tumepita na tumetizama miundombinu imara tumeshuhudia jitihada kubwa iliyofanywa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye anashusha fedha nyingi sana kwa ajili ya kuboresha miundombinu katika sekta ya elimu.”

Amesema kutokana na juhudi hizo za Rais Samia, watanzania wanapaswa kujua kuwa wanajukumu la msingi la kuendelea kuchangia katika kustawisha mazingira mazuri zaidi ya wanafunzi kupata elimu.

Pia amendeleea kusisitiza wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa shule kuhakikisha wanafuata miongozo inayotolewa chini ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Aidha, Mhe.Katimba amewahimiza wakuu wa shule kuhakikisha wanapanda miti ya matunda na kuandaa bustani za mbonga katika maeneo ya shule hatua ambayo itawafanya wanafunzi kupata lishe bora.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.