• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wakuu wamikoa watakiwa kusimamia ufungaji Hoja za Ukaguzi katika Halmashauri zao

Imewekwa tarehe: November 25th, 2022

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mtaa Mhe. Angellah Kairuki amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa kuhakikisha wanazisimamia halmashauri zote kufunga hoja za ukaguzi wa hesabu za serikali.

Ametoa maagizo hayo leo Novemba 25, 2022 alipokuwa akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Simiyu kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani humo.

"Kuna Halmashauri wana hoja ambazo zipo kwa muda wa miaka miwili hadi mitatu kutokana labda na uzembe wa kutoambatanisha nyaraka, hakikisheni mnazisimamia halmashauri hizo ili zijibu hoja kwa wakati na kuzifuta kabisa," amesisitiza Waziri Kairuki.

Ameziagiza Halmashauri kuhakikisha hoja hazijirudi na elimu itolewe kwa wahusika wanaojibu hoja ili kupunguza hoja zinazoletwa na CAG.

Waziri Kairuki pia amewataka kuhakikisha hoja hizo zinachambuliwa kwa kina ili kujua hoja zinazojibika na kuhitaji viambatanisho ili zifanyiwe kazi na kufutwa kabisa kwa wakati.


Vilevile, Waziri Kairuki ameagiza wasimamie ukusanyaji wa mapato na matumizi yake kwa kutumia mifumo ya ukusanyaji wa mapato na kuacha kutumia fedha mbichi.

Amewataka viongozi hao kuwa wanaangalia utaratibu wa kuwapata mawakala kwa kuangalia historia zao, uzoefu na ufanisi wao katika kazi ili kujirishisha kwa kuwa wanafanya kazi kwa niaba ya Halmashauri katika suala la ukusanyaji wa
mapato.

"Nendeni mkazihakiki na kuzikagua POS mashine ili kujua zinazofanya kazi, zilipotea na ambazo hazifanyi kazi ili kujiridhisha na kutolea taarifa kwa zile ambazo hazifanyi kazi
Ofisi ya Rais TAMISEMI," ameelekeza Waziri Kairuki.

Amesema Halmashauri zote nchini zinapaswa kuhakikisha wamejiunganisha na mfumo wa Tausi katika ukusanyaji wa mapato ifikapo Novemba, 2, mwaka 2022.

Amewataka kuhakikisha wanatumia mfumo wa utoaji mikopo ya asilimia 10 na kufanya ufuatiliaji wa urejeshwaji wa mikopo hiyo pia vikao vilivyowekwa kisheria vinafanyika kwa wakati kuanzia ngazi ya Kata hadi Mkoa.

Aidha, ameziagiza Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanajikita katika suala la usafi wa mazingira ili kupendezesha miji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.