• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Walima zabibu' wajichimbia Morogoro kunoa makali

Imewekwa tarehe: September 1st, 2021

KIKOSI cha 'Walima Zabibu' kinachomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dodoma Jiji FC kimepiga kambi Mkoani Morogoro "Mji kasoro Bahari" ili kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2021/2022.

Akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Chuo cha Ualimu Morogoro ambapo ndipo timu hiyo inapofanyia mazoezi Afisa Habari wa Klabu hiyo Moses Mpunga amesema kuwa kambi hiyo itakua ni ya siku 14 na kwamba wameamua kuweka kambi hapo kutokana na hali nzuri ya hewa na utulivu wa hali ya juu ambao utawasaidia wachezaji kutulia na kufanya maandalizi vizuri kuelekea kwenye msimu mpya wa Ligi hiyo.

Mpunga ameongeza kuwa tayari asilimia 95 ya wachezaji wapo kambini huku akiwataja baadhi ya wachezaji wapya waliosajiliwa na timu hiyo katika dirisha kubwa la usajili msimu huu kuwa ni sehemu ya kikosi hicho Mkoani humo.

“Tayari kikosi chetu kipo Morogoro, wachezaji wetu wazamani na baadhi wapya wameshaanza mazoezi chini ya Kocha Mkuu Mbwana Makata wachezaji wapya ambao wapo kambini tayari ni Emmanuel Martin, David Ulomi na golikipa Mohamed Yusuph” alisema Mpunga.

Aidha akizungumzia hali ya kikosi kwa ujumla Mpunga amesema kuwa wachezaji wanaendelea vizuri na hakuna majeruhi yeyote katika kambi yao.

Mpaka sasa Dodoma Jiji FC imeshazinyaka saini za wachezaji sita ambao ni washambuliaji Emmanuel Martin na David Ulomi, kiungo Hussein Nassoro, beki Joram Mgeveke, na magolikipa Mohammed Yusuph pamoja na Rahim Sheikh.

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2021/2022, inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu wa tisa huku timu mbalimbali zikijichimbia katika Miji tofauti nchini na zingine nje ya nchi ili kujiandaa na Ligi hiyo.

Baadhi ya picha za wachezaji wa timu ya Dodoma Jiji FC wakiwa mazoezini kwenye kambi waliyoweka mjini Morogoro





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.