• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Walima zabibu wamfuata Simba Dar

Imewekwa tarehe: April 25th, 2021

KIKOSI cha Dodoma Jiji FC chenye wachezaji, benchi la ufundi na viongozi leo kimeanza safari ya kuzifuata alama tatu Jijini Dar es salaam ambapo watakutana na Simba SC katika mchezo wa ligi kuu namba 245 kwenye dimba la Mkapa Jijini humo majira ya saa 1:00 usiku.

Dodoma Jiji ambayo imepanda daraja msimu huu imekuwa na wakati mzuri katika mzunguko wa pili wa ligi Kuu Tanzania Bara kwa kucheza michezo tisa na kuwa na wastani mzuri wa matokeo kitu ambacho imekua chachu kwa wapenzi soka Jijini Dodoma na wachambuzi wa masuala ya soka wanaitabiria makubwa timu hiyo ya makao Makuu ya Nchi.

Akizungumzia safari hiyo Afisa Habari wa timu hiyo Moses Mpunga amesema kuwa kikosi kipo katika hali nzuri na mwalimu amewaandaa wachezaji kulingana na umuhimu wa mchezo huo kwani wanahitaji alama tatu ili wazidi kujihakikishia nafasi ya kubakia katika ligi Kuu, hivyo mchezo huo ni muhimu sana kwao.

“Simba ni timu kongwe tunaiheshimu ila kwenye soka ukongwe sio sababu ya kutuzuia kupata alama tatu kwao, tunaamini kwa ubora wa mwalimu na wachezaji wetu tunaweza kuondoka na alama tatu, najua asilimia kubwa wanaipa Simba kipaumbele lakini tutawashangaza” amesema Mpunga.

Akizungumzia kuhusu wachezaji watakaoukosa mchezo huo Mpunga amemtaja Salmin Hoza ambae bado anaumwa na anaendelea na matibabu pamoja na Rajab Mgalula ambae amekua akisumbuliwa na goti kwa muda mrefu ila waliobaki wote wako vizuri na mwalimu ataangalia ni nani atahitaji kumtumia kwenye mchezo huo.

Dodoma Jiji wanakutana na Simba kwa mara ya pili katika msimu huu wa 2020/2021 ambapo katika mchezo wao wa kwanza walipoteza kwa 2 – 1 wakiwa nyumbani.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.