• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

'Walima zabibu' wapoteza nyumbani, 'Red card' yawaharibia

Imewekwa tarehe: October 1st, 2021

WAKALI wa Makao Makuu ya Nchi, 'Walima Zabibu' Dodoma Jiji FC wameshindwa kuutumia vyema uwanja wao wa nyumbani kwa kukubali kufungwa na Simba SC ikiwa ni mchezo wa pili tu wa msimu mpya wa ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022 katika mchezo ulioonekana kuwa wa kasi na wenye matumizi makubwa ya nguvu na ubabe kwa timu zote mbili. Kikosi cha Dodoma Jiji kilionekana kuwa bora sana katika kipindi chote cha kwanza ila mambo yakabadilika baada ya mshambuliaji wao Anuary Jabir kupewa kadi nyekundu hali iliyowalazimu 'walima zabibu' hao kucheza pungufu na kupelekea Simba kupata goli katika kipindi cha pili kupitia kwa Meddie Kagere. 

Akizungumza na wanahabari mara baada ya kumalizika kwa mchezo huo kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata amewapongeza wachezaji wake kwa kupambana na kuonesha ushindani mkubwa licha ya uchache wao uwanjani. Makata ameongeza kuwa walikua na nafasi kubwa ya kushinda mchezo huo lakini mambo yalibadilika baada ya kadi nyekundu ambayo ilimlazimu kubadili mfumo wa kiuchezaji kutokana na uchache wao ili kuweza kuendana na mchezo. "Unapokutana na hizi timu kongwe kuna mambo mengi hutokea ambayo yanaweza kukulazimisha kubadili mfumo wako wa kiuchezaji ila licha ya hayo yote bado tulionekana kuwa imara mpaka mwisho wa mchezo" alisema Makata. 

Kwa upande wake Afisa Habari wa Dodoma Jiji Moses Mpunga amewashukuru mashabiki wao kwa kujaa uwanjani jambo ambalo liliongeza hamasa kwa wachezaji na kuwadhoofsha wapinzani wao kwani kwa mara ya kwanza mashabiki wa timu hiyo waliingia kwa wingi uwanjani na kushangilia tofauti na ilivyozoeleka kuwa Simba na Yanga zinapokuja huwa ni ngumu kuuona wingi wa mashabiki wa Dodoma Jiji. "Tumeweka historia katika soka la Nchi hii ni ngumu sana kuwaona mashabiki wa timu nyingine kwa wingi pale wanapocheza na Yanga au Simba ila sisi kwa mara ya kwanza tumewanyamazisha tulijaa uwanjani, hamasa iilikua kubwa ikiongozwa na Mhe. Mbunge wetu Anthony Mavunde, na hili sio kwa mechi hii tu ila ni kwa mechi zote za nyumbani" aliongeza Mpunga. Hata hivyo Mpunga amesema kuwa mchezo huo umekwishamalizika na sasa wanautupia macho mchezo wao wa tatu dhidi ya Mbeya Kwanza ambao watakua ugenini Jijini Mbeya tarehe 17/10/2021. 

Kwa sasa Dodoma Jiji inashika nafasi ya nane katika msimamo wa ligi ikiwa na alama tatu huku ikicheza michezo miwili, ikishinda mmoja na kupoteza mmoja.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.