• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Walimu Msingi, Sekondari wapigwa msasa TEHAMA

Imewekwa tarehe: October 26th, 2021

AFISA na Mratibu TEHAMA kutoka TAMISEMI,Mwl. Mratibu Abed, amewataka walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wanaopata mafunzo ya TEHAMA kufanya kwa vitendo na kwa waledi ili waweze kwenda kusaidia wanafunzi mashuleni.

Hayo ameyasema leo oktoba 25, 2021 jijini Dodoma wakati wa Mkutano wa mafunzo ya TEHAMA yaliyoandaliwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) kwa lengo la kufikisha elimu kwa walimu wengine kwa Sule za Sekondari na Msingi nchini.

Mwl Abed amewataka walimu kufanya mafunzo kwa umakini wa hali ya juu kwa vitendo ili waweze kufikisha elimu sahihi  kwa wanafunzi ambao wataenda kuwafundisha na kuwa watatoka na kitu.

Aidha amewataka kuwa wavumiliu kwa changamoto zitakazojitokea kwa kipindi chote cha mafunzo pia kwa wale wasio na vifaa vya Tehama watasaidiwa kuweza kupata.

“Mafunzo haya ninyeti inawabidi kufanya mafunzo hayo kwa umakini wa hali ya juu kwa vitendo ili muweze kuelewa na kuwafkishia wanafunzi na walimu ambao mmewawakilisha”amesema Mwl Abed

“lakini pia kwa vikwanzo au changamoto yoyote mtakazo kutana nazo  itawabidi kuwa wavumilivu lakni pia kwa wale ambao bado hawajapata vifaa vya Tehama tutawasaidia kuweza kupata,”amesema

Kwa upande wa walimu kutoka shule ya sekondari ya Wasichana Tabora,Daudi Njele , amesema wanatumani wanatweza kufanya vizuri mafunzo haya nawataweza kufanya kwa vitendo na umakini ili kufikisha elimu dhabiti kwa wanafunzi na walimu walio wawakilisha.

Aidha ameishukuru  UCSAF kwa kuandaa mafunzo hayo kwa wiki nzima maana inaenda kuwasaidia wao pamoja na wanafunzi kutokana na mfumo wa Dunia ya sayansi na teknolojia inavyohitaji

”Tunaishukuru UCSAF kwa kuanda mafunzo haya maana yataenda kutusaidi sisi pamoja na wanafunzi kutokana na mfumo wa Dunia ya sanyansi na teknolohia inavyohitaji,”amesema



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.