• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Walimu wakuu hudhurieni WDC zenu

Imewekwa tarehe: July 15th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

WALIMU wakuu wa shule za msingi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametakiwa kuwa wanahudhuria vikao vya kamati za maendeleo za kata ili kuwasilisha changamoto zinazozikabili shule zao na kupatiwa ufumbuzi.

Agizo hilo lilitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji na Mazingira, Jaffar Mwanyemba alipoongoza Kamati ya Fedha na Utawala ‘route one’ kutembelea na kukagua ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi Mbwanga iliyopo katika Kata ya Mnadani jijini hapa.

Mwanyemba alishauri kuwa walimu wakuu wawe wanahudhuria kamati za maendeleo za kata. Kamati za maendeleo za kata ndiyo sehemu ambayo changamoto za shule za msingi zinaweza kujadiliwa kwa karibu na kuwekwa katika vipaumbele vya kata.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mbwanga, Mwalimu Aloyce Muyinga alisema kuwa shule yake ilipokea shilingi 40,000,000 Novemba, 2021 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa. “Hadi sasa shilingi 36,600,000 zimetumika kwenye ujenzi. Shilingi 3,400,000 zipo katika akaunti. Mradi umefikia hatua ya umaliziaji na vifaa vilivyokosekana ni vioo. Mradi unakabiliwa na changamoto ya mfumuko wa bei, jamii na kamati kuhitaji fedha kama zawadi” alisema Mwalimu Muyinga.

Alisema kuwa shule yake ina vyumba vya madarasa 11, wakati mahitaji ni madarasa 57 na upungufu madarasa 46. “Shule ina matundu ya vyoo 16 tu, wavulana matundu 8 na wasichana matundu 8, upungufu wavulana matundu 41 na wasichana upungufu matundu 57 jumla ya mahitaji ni 114” alisema Mwalimu Muyinga.

Ikumbukwe kuwa shule ya msingi Mbwanga ina jumla ya wanafunzi 2,607 kati yao wavulana ni 1,294 na wasichana ni 1,313 iliwa na walimu 42, wanaume wanne na wanawake 38.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.